obrien daniels
Member
- May 4, 2022
- 44
- 54
Habarini wanajamvi, nimewiwa kuuliza swali hili ili nipate ufafanuzi.
Mimi ninasoma degree NIT, nime retake somo mwaka huu wa pili, na pia nina mkopo kutoka loan board.
Je, ku retake huku kutaleta athari gani kwenye boom na mkopo wangu kwa ujumla?
Naomba ufafanuzi katika hili, ahsanteni sana.
Mimi ninasoma degree NIT, nime retake somo mwaka huu wa pili, na pia nina mkopo kutoka loan board.
Je, ku retake huku kutaleta athari gani kwenye boom na mkopo wangu kwa ujumla?
Naomba ufafanuzi katika hili, ahsanteni sana.