Hivi uki retake, boom unaendelea kupata?

Hivi uki retake, boom unaendelea kupata?

Watu wana changanya kidogo hapa.

UDSM hauwezi fananisha na NIT.

UDSM wana system tofauti na NIT. Hao UD wana carryover ata mwaka wa mwisho lakini hivi vyuo vya ufundi mwaka wa mwisho hawana.

Sasa retake zipo za kushindwa fikisha CA /coursework na za kushindwa kusuppua Supp. Sijui ya mtoa mada ni ipi.

Na pia course yako ni ya miaka 4 au mitatu. Ila kwakua umesema una retake na upo mwaka wa 2 basi yako ni ya mitatu naamini hivo.

Retake ni pale unapotoka NTA 7 kuingia 8 otherwise ni carryover.

Kitakachofanyika ukiwa 2nd yr na unaingia 3rd yr (final year) uka retake utaacha kusoma masomo ya 3rd yr ila utabaki home hadi utakap clear ilo somo la 2nd yr.

Kama ni CA kuna percentage ya ada utalipa kutokana na weight (units) za iyo module. Na kama ni mtihani tu wa mwisho utakuja fanya kipindi cha UE.

Sasa kma upo home mwaka mzima boom lako litasimamishwa maana siku hizi bodi wanataka update ya matokeo ya mwanafunzi kila mwaka wajue kama anaendelea au hasomi. Sio kama zamani.

Ukiclear ukarudi chuo uta resume mkopo waio Loan officer ataandika barua.
 
Watu wana changanya kidogo hapa.

UDSM hauwezi fananisha na NIT.

UDSM wana system tofauti na NIT. Hao UD wana carryover ata mwaka wa mwisho lakini hivi vyuo vya ufundi mwaka wa mwisho hawana.

Sasa retake zipo za kushindwa fikisha CA /coursework na za kushindwa kusuppua Supp. Sijui ya mtoa mada ni ipi.

Na pia course yako ni ya miaka 4 au mitatu. Ila kwakua umesema una retake na upo mwaka wa 2 basi yako ni ya mitatu naamini hivo.

Retake ni pale unapotoka NTA 7 kuingia 8 otherwise ni carryover.

Kitakachofanyika ukiwa 2nd yr na unaingia 3rd yr (final year) uka retake utaacha kusoma masomo ya 3rd yr ila utabaki home hadi utakap clear ilo somo la 2nd yr.

Kama ni CA kuna percentage ya ada utalipa kutokana na weight (units) za iyo module. Na kama ni mtihani tu wa mwisho utakuja fanya kipindi cha UE.

Sasa kma upo home mwaka mzima boom lako litasimamishwa maana siku hizi bodi wanataka update ya matokeo ya mwanafunzi kila mwaka wajue kama anaendelea au hasomi. Sio kama zamani.

Ukiclear ukarudi chuo uta resume mkopo waio Loan officer ataandika barua.
Umesomeka sana Mr Loan Officer 😁😁😁
 
Habarini wanajamvi, nimewiwa kuuliza swali hili ili nipate ufafanuzi.

Mimi ninasoma degree NIT, nime retake somo mwaka huu wa pili, na pia nina mkopo kutoka loan board.

Je, ku retake huku kutaleta athari gani kwenye boom na mkopo wangu kwa ujumla?

Naomba ufafanuzi katika hili, ahsanteni sana.
Muone loan officer wa chuoni kwako atakupa maelekezo mazuri sana.
 
Watu wana changanya kidogo hapa.

UDSM hauwezi fananisha na NIT.

UDSM wana system tofauti na NIT. Hao UD wana carryover ata mwaka wa mwisho lakini hivi vyuo vya ufundi mwaka wa mwisho hawana.

Sasa retake zipo za kushindwa fikisha CA /coursework na za kushindwa kusuppua Supp. Sijui ya mtoa mada ni ipi.

Na pia course yako ni ya miaka 4 au mitatu. Ila kwakua umesema una retake na upo mwaka wa 2 basi yako ni ya mitatu naamini hivo.

Retake ni pale unapotoka NTA 7 kuingia 8 otherwise ni carryover.

Kitakachofanyika ukiwa 2nd yr na unaingia 3rd yr (final year) uka retake utaacha kusoma masomo ya 3rd yr ila utabaki home hadi utakap clear ilo somo la 2nd yr.

Kama ni CA kuna percentage ya ada utalipa kutokana na weight (units) za iyo module. Na kama ni mtihani tu wa mwisho utakuja fanya kipindi cha UE.

Sasa kma upo home mwaka mzima boom lako litasimamishwa maana siku hizi bodi wanataka update ya matokeo ya mwanafunzi kila mwaka wajue kama anaendelea au hasomi. Sio kama zamani.

Ukiclear ukarudi chuo uta resume mkopo waio Loan officer ataandika barua.
Thanks!
 
Back
Top Bottom