Bawabu wa pili
Senior Member
- Nov 14, 2025
- 147
- 432
Unajua imekua kama kero hivi, yaani miaka inaendaga inarudi ila kila siku Dar es salaam wapo kwenye ujenzi wa barabara. Hivi ni ujenzi wa miundo mbinu gani hii isiyoisha?
Ujue kuna maeneo Dar ukipita unaweza dhani upo mkoani?
Nauliza tu, kwamba Serikali imeshindwa kutenga hata mwaka mmoja au hata miwili mkaumaliza mkoa mzima? kipi kinashindakana? Maana tangu enzi za JPM hadi leo ujenzi bado unaendeleaga tu, na wala hata huoni wanapopajenga.
Wahusika litazameni hili, linasababisha foleni zisizo za msingi, njia nyingi zinafungwa fungwa kisa huo ujenzi mwisho wa siku inakua kero sasa.
Ujue kuna maeneo Dar ukipita unaweza dhani upo mkoani?
Nauliza tu, kwamba Serikali imeshindwa kutenga hata mwaka mmoja au hata miwili mkaumaliza mkoa mzima? kipi kinashindakana? Maana tangu enzi za JPM hadi leo ujenzi bado unaendeleaga tu, na wala hata huoni wanapopajenga.
Wahusika litazameni hili, linasababisha foleni zisizo za msingi, njia nyingi zinafungwa fungwa kisa huo ujenzi mwisho wa siku inakua kero sasa.