Uislam ni tamaduni na njia ya identification kama ulivyo Uafrika. Uafrika mpaka dakika hii umefanya nn afrika?uislamu upo karibia miaka 1000 pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii? hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu ?
Mimi ni atheist mtu nisiyeamini katika dini wala Mungu.uislamu upo karibia miaka 1000 pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii? hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu ?
Ushakula kwanza mchana? Usikute njaa inakusumbua.uislamu upo karibia miaka 1000 pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii? hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu ?
husomi historia mkuu, wameleta karafuuuislamu upo karibia miaka 1000 pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii? hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu ?
Uislam umeleta ustaarabu na biashara Pwani na ndio sababu Makafiri wamehamia Dar kwa wingi.uislamu upo karibia miaka 1000 pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii? hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu ?
Na bila kusahau Kahawa tungu na tamu.Umeleta tende
Na shanga hawa ndio wauzaji wakubwa..!!Na bila kusahau Kahawa tungu na tamu.
Ajabu sana. Yani wewe ni Mjinga ilhali sio MuislamuUislam umeleta ujinga.
Biashara ya Utumwa ni kitu kibaya sana kuletwa na uisilamu na waisilamu katika pwani hii ya Afrika ya Mashariki.Na shanga hawa ndio wauzaji wakubwa..!!
Bila kusahau biashara ya utumwa na kuuza watu.!!
Kuna watu nikiwambia wewe ni genius huwa wanakataaa...Umeleta daku na futari