Unaona mnavyothibitisha ujinga wenu?Paul Alex kweli hujaelimika kabisa halafu kweli ndiyo tukutegemee nchi hii kuibadili kwa kutudanganya kuwa Rais anaongea uwongo?
Usomi wenu huo wa kuwadanganya wanainchi ili mradi tu ufanikishe malengo hakukubaliki.
Rudi tena darasani ukasome upya ufahamu kuhusu hesabu na uchumi.