Hivi tutajengaje juu ya uongo? Watu wanasifiaje uongo?

Paul Alex kweli hujaelimika kabisa halafu kweli ndiyo tukutegemee nchi hii kuibadili kwa kutudanganya kuwa Rais anaongea uwongo?

Usomi wenu huo wa kuwadanganya wanainchi ili mradi tu ufanikishe malengo hakukubaliki.

Rudi tena darasani ukasome upya ufahamu kuhusu hesabu na uchumi.
Unaona mnavyothibitisha ujinga wenu?
 
Paul Alex kweli hujaelimika kabisa halafu kweli ndiyo tukutegemee nchi hii kuibadili kwa kutudanganya kuwa Rais anaongea uwongo?

Usomi wenu huo wa kuwadanganya wanainchi ili mradi tu ufanikishe malengo hakukubaliki.

Rudi tena darasani ukasome upya ufahamu kuhusu hesabu na uchumi.
Hebu tusaidie kuelewa maana ya 50% economic benefit!
 
Kutetea jambo linalojulikana kwamba ni UONGO hadharani ni dalili ya ukosefu wa akili timamu.
 
Mtu aliyepata urais kwa style za visasi ndani ya chama anafanana na yule aliyepata embe lilidondoka chini ya mpapai so usitegemee jambo lolote la maana.
 
Paul Alex kweli hujaelimika kabisa halafu kweli ndiyo tukutegemee nchi hii kuibadili kwa kutudanganya kuwa Rais anaongea uwongo?

Usomi wenu huo wa kuwadanganya wanainchi ili mradi tu ufanikishe malengo hakukubaliki.

Rudi tena darasani ukasome upya ufahamu kuhusu hesabu na uchumi.
Na wewe ndo umejibu sasa?
 
In voodoo (bongoland) economics a snake can survive by eating it's own tail!
Kurudisha fedha za serikali B.O.T kwa mfano, Ni moja ya njia za kudhibiti mzunguko wa fedha. Hii ndio sehemu ya contractionary monetary policy.

Contractionary monetary policy is a form of economic policy used to fight inflation which involves decreasing the money supply in order to increase the cost of borrowing which in turn decreases GDP and dampens inflation.

Hivyo hapa lazima GDP ipungue na matokeo yake pia ni kupungua kwa makusanyo ya kodi.
Hizi ni scenarios ambazo ni very automatic.
Ukitriger moja basi nyingine zitafuata.

Sasa kwenye mazingira haya unawaambiaje watu kuwa uchumi unakua na makusanyo ya kodi yanaongezeka?

Kwanini udanganye kwa suala ambalo ni wazi namna hii?
 
Paul Alex kweli hujaelimika kabisa halafu kweli ndiyo tukutegemee nchi hii kuibadili kwa kutudanganya kuwa Rais anaongea uwongo?

Usomi wenu huo wa kuwadanganya wanainchi ili mradi tu ufanikishe malengo hakukubaliki.

Rudi tena darasani ukasome upya ufahamu kuhusu hesabu na uchumi.
Hivyo ndo umemjibu??
 
Paul Alex kweli hujaelimika kabisa halafu kweli ndiyo tukutegemee nchi hii kuibadili kwa kutudanganya kuwa Rais anaongea uwongo?

Usomi wenu huo wa kuwadanganya wanainchi ili mradi tu ufanikishe malengo hakukubaliki.

Rudi tena darasani ukasome upya ufahamu kuhusu hesabu na uchumi.
Uwezo wa Paulo Alex ni mkubwa kuliko wanachama wote wa jumuiya za ccm , hata sijajua kisa cha wewe usiye na hoja hata ya kulumangia unamquote !
 
Tatizo lenu mnaingilia kazi ambazo siyo zenu. Wewe hesabu za Serikali zinakuhusu nini mpaka unakuja kutuletea hesabu zako wakati siyo kazi yako. Usiwadanganye wanainchi na hesabu zako za kutengeneza kwa kazi ya watu wengine.

Waacheni wenye kazi zao watoe taarifa kwa kazi zao na wewe toa taarifa kwa kazi yako unayofanya.

Kila mtu afanye kazi yake. Unaanza kutupilia hesabu za ndege za jeshi unazijua wewe?

Watanzania tuna shida sana tunapenda kuonekana tunajua sana mambo ya watu wengine wakati hatujui na hayatuhusu.

Maji atajua biashara zake na hesabu, Baharesa atajua kampuni yake vizuri, MO Dewji atajua biashara zake. Na Serikali itajua mambo yake na Taasisi zake kiundani kuliko wewe ndugu.
Kwa uelewa wako ghorofa moja la bweni lenye ghorofa 4 na likiwa na vyumba kama tulivyoelezwa ni milioni 500, na ofisi ya tra yenye vyumba chini kumi ni milioni 1,400.
Ina haja gani kutaja hesabu ukijua haiko hivyo unataka upate nini na wewe ndiye baba. Acha utoto utakuwa ccm wewe maana hujui ndiyo na hapana kwako neno moja.
Ni kweli ktk kubana matumizi lkn kama kubana matumizi kwa kuwaongopea watu haisaidii kuhimizwa kazibi pamoja ba mapungufu yanaposemwa wazi watu wanaambiwa hatujafikia lengo. Sasa kila saa kuna pesa zipo kumbe hakuna tuombee hali ya ukweli irejee kwako na rafiki zako. Uongo siyo sifa njema si aheeri ukakaa kimia.
Watz mmelogwa nanani kupenda kusifia ubaya, ukimwambia mzee waki kwa kutumia njia sahihi inakuwa ubaya kuanzia leo jitambue

NIMEKUSHANGAA SANA ATI BADO UNATETEA TU KWANI KWAKO UINGO UNAFAIDA IPI
 
Kwa uelewa wako ghorofa moja la bweni lenye ghorofa 4 na likiwa na vyumba kama tulivyoelezwa ni milioni 500, na ofisi ya tra yenye vyumba chini kumi ni milioni 1,400.
Ina haja gani kutaja hesabu ukijua haiko hivyo unataka upate nini na wewe ndiye baba. Acha utoto utakuwa ccm wewe maana hujui ndiyo na hapana kwako neno moja.
Ni kweli ktk kubana matumizi lkn kama kubana matumizi kwa kuwaongopea watu haisaidii kuhimizwa kazibi pamoja ba mapungufu yanaposemwa wazi watu wanaambiwa hatujafikia lengo. Sasa kila saa kuna pesa zipo kumbe hakuna tuombee hali ya ukweli irejee kwako na rafiki zako. Uongo siyo sifa njema si aheeri ukakaa kimia.
Watz mmelogwa nanani kupenda kusifia ubaya, ukimwambia mzee waki kwa kutumia njia sahihi inakuwa ubaya kuanzia leo jitambue
Hayo hayakuhusu angalia familia yako na hesabu zako za darasa la tatu za kulinganisha....
 
Uwezo wa Paulo Alex ni mkubwa kuliko wanachama wote wa jumuiya za ccm , hata sijajua kisa cha wewe usiye na hoja hata ya kulumangia unamquote !
Uwezo wake anaujua mkeo... Asituletee huku. Arudi darasani tu kusoma upya hesabu na uchumi
 
Paul Alex kweli hujaelimika kabisa halafu kweli ndiyo tukutegemee nchi hii kuibadili kwa kutudanganya kuwa Rais anaongea uwongo?

Usomi wenu huo wa kuwadanganya wanainchi ili mradi tu ufanikishe malengo hakukubaliki.

Rudi tena darasani ukasome upya ufahamu kuhusu hesabu na uchumi.
Punguza mahaba
 
Back
Top Bottom