Hivi tutajengaje juu ya uongo? Watu wanasifiaje uongo?

Paul Alex kweli hujaelimika kabisa halafu kweli ndiyo tukutegemee nchi hii kuibadili kwa kutudanganya kuwa Rais anaongea uwongo?

Usomi wenu huo wa kuwadanganya wanainchi ili mradi tu ufanikishe malengo hakukubaliki.

Rudi tena darasani ukasome upya ufahamu kuhusu hesabu na uchumi.

Aisee...hii kali kwelikweli!

Kwa hiyo ni nani mwongo sasa kwa mtazamo wako?

Rais wako ama mleta mada?
Wewe ndiyo hujaelimika... Hujui 10Bil ni za nini na 45 Bil ni za nini.Soma taarifa vizuri uzielewe.

Ajira 52,000 zipo na Rais Magufuli hajamaliza muda wake.

Hapa tena unathibitisha kuwa una tatizo ktk kufikiri kwako kichwani...

Mtetee Rais wako kwa facts.

Unamwambia mwenzako asome taarifa. Sijui taarifa kutoka wapi na kwa nani? Je una maana taarifa za kutoka kwa huyuhuyu mwongo? Mwaga wewe taarifa hizo hapa ili ulithibitishie jukwaa kuwa Rais wako si mwongo, vinginevyo kaa kimya, wasome wengine tu

Kwa kifupi tu ni kuwa, ni ngumu sana kwa mtu mwenye akili timamu kumtetea Magufuli na serikali yake, unless uamue kuuvaa ujinga na uwendawazimu kwa%....!!
 
Kitu cha kwanza daktari anachofanya kwa mgonjwa huwa ni kuchukua taarifa za mgonjwa au mtu wake wa karibu ili aweze kujua chanzo cha ugonjwa na ukubwa wa tatizo. Taarifa za uongo zitapelekea daktari kutoa tiba isiyo sahihi.

Kwenye biashara, taarifa sahihi za masoko ni muhimu mno. Uelewa wa ukubwa wa uhitaji, aina ya washindani Kwenye soko, tabia za wateja na mabadiliko ya tabia , n.k ni muhimu sana kwenye ustawi wa biashara.
Tunasema, unapokuwa na mapungufu ya taarifa Kwenye jambo lolote katika masoko , basi upungufu huo utajitokeza kama 'cost item' kwenye P & L accounts.

Taarifa sahihi ni muhimu sana.
Tena sana zaidi inapokuja Kwenye suala la kuendesha nchi.
Kinadharia, rais ni mamlaka inayopaswa kuheshimika katika utoaji wa taarifa. Yaani unaweza kuandika paper na ukam'quote' rais yeyote kama ameongelea jambo linalohusiana na paper uliyoandika.
Kwanini?
Kwasababu rais ana vyanzo vingi vya taarifa labda kuliko mtu yeyote. Hii inachangia sana kufanya taarifa zake ziwe credible.

Inakuwaje rais anapodanganya?
Uongo huo unakuwa sehemu ya taarifa ambazo zinafanyiwa kazi na taasisi zilizo chini ya rais.
Hapo utapata matokeo chanya kweli?

Halafu siku hizi kuna watu wa ajabu kweli!
Watu kama kina Jerry Muro na baadhi ya UVCCM.
Inatoka hoja kuwa rais anasema uongo na mtu anajibu, 'Muacheni rais achape kazi '.
Logically unategemea mtu aijibu hiyo hoja kwa kusema kilochoongelewa sio uongo na kutoa counter facts.
Badala yake mtu anajikita kwenye udaku.
Eti sijui wake zako hivi, mara 'demu' wako vile .... wehu kwakweli.
Huu muda wa kutafuta taarifa za udaku kwanini Muro asiutumie kutafuta taarifa sahihi?

The president should be the most credible source of information na ni vizuri kama ikibaki hivyo.

Unaapply contractionary policy kwenye uchumi, logically, uchumi utasinyaa. Eee , si unataka usinyae?
Kwaivyo uchumi ukisinyaa, waambie watu ,'jamee, uchumi umesinyaa Kwasababu tunataka usinyae kwa muda'.
Jamani, mnatusomesha ili tuwe na akili. Kwaivyo mkiongea na sisi, ongeeni mkijua mnaongea na watu walioelimika.

Mzungu anasema 50% economic benefits, ikijumuisha 16% of shares, tax na hicho kishika uchumba.
Wewe unatuambia 50% profit,16% of shares na kodi juu!
Mnatudanganya ili iweje?
Wewe na Muro mnatofauti?
 
uvlumumba wengi bwana weeeeee! wana andamana hao! Ila siku zote hakuna lenye mwanzo likakosa mwjsho.Semeni ule usemi wenu kule bungeni ,wanasema! NDIOOOOOOOOOO!!
 
Kitu cha kwanza daktari anachofanya kwa mgonjwa huwa ni kuchukua taarifa za mgonjwa au mtu wake wa karibu ili aweze kujua chanzo cha ugonjwa na ukubwa wa tatizo. Taarifa za uongo zitapelekea daktari kutoa tiba isiyo sahihi.

Kwenye biashara, taarifa sahihi za masoko ni muhimu mno. Uelewa wa ukubwa wa uhitaji, aina ya washindani Kwenye soko, tabia za wateja na mabadiliko ya tabia , n.k ni muhimu sana kwenye ustawi wa biashara.
Tunasema, unapokuwa na mapungufu ya taarifa Kwenye jambo lolote katika masoko , basi upungufu huo utajitokeza kama 'cost item' kwenye P & L accounts.

Taarifa sahihi ni muhimu sana.
Tena sana zaidi inapokuja Kwenye suala la kuendesha nchi.
Kinadharia, rais ni mamlaka inayopaswa kuheshimika katika utoaji wa taarifa. Yaani unaweza kuandika paper na ukam'quote' rais yeyote kama ameongelea jambo linalohusiana na paper uliyoandika.
Kwanini?
Kwasababu rais ana vyanzo vingi vya taarifa labda kuliko mtu yeyote. Hii inachangia sana kufanya taarifa zake ziwe credible.

Inakuwaje rais anapodanganya?
Uongo huo unakuwa sehemu ya taarifa ambazo zinafanyiwa kazi na taasisi zilizo chini ya rais.
Hapo utapata matokeo chanya kweli?

Halafu siku hizi kuna watu wa ajabu kweli!
Watu kama kina Jerry Muro na baadhi ya UVCCM.
Inatoka hoja kuwa rais anasema uongo na mtu anajibu, 'Muacheni rais achape kazi '.
Logically unategemea mtu aijibu hiyo hoja kwa kusema kilochoongelewa sio uongo na kutoa counter facts.
Badala yake mtu anajikita kwenye udaku.
Eti sijui wake zako hivi, mara 'demu' wako vile .... wehu kwakweli.
Huu muda wa kutafuta taarifa za udaku kwanini Muro asiutumie kutafuta taarifa sahihi?

The president should be the most credible source of information na ni vizuri kama ikibaki hivyo.

Unaapply contractionary policy kwenye uchumi, logically, uchumi utasinyaa. Eee , si unataka usinyae?
Kwaivyo uchumi ukisinyaa, waambie watu ,'jamee, uchumi umesinyaa Kwasababu tunataka usinyae kwa muda'.
Jamani, mnatusomesha ili tuwe na akili. Kwaivyo mkiongea na sisi, ongeeni mkijua mnaongea na watu walioelimika.

Mzungu anasema 50% economic benefits, ikijumuisha 16% of shares, tax na hicho kishika uchumba.
Wewe unatuambia 50% profit,16% of shares na kodi juu!
Mnatudanganya ili iweje?
Mkuu hapo kwenye 50% kwenda chini sijaelewa mkuuu,,toa darasa
 
Wewe ndiyo hujaelimika... Hujui 10Bil ni za nini na 45 Bil ni za nini.Soma taarifa vizuri uzielewe.

Ajira 52,000 zipo na Rais Magufuli hajamaliza muda wake.
Nimekupata halo kwenye ajira,,lkn kwenye 10bln na 45bln plz,,imekuwaje badala ya kumi ikenda 45
 
Siasa imeharibu sana vijana wa kitanzania.Now dayz kila mtu anajua kuhusu uchumi na uendeshaji nchi hata kama hajafanya tafiti as long as watu wanasema nayeye anasema tu.
 
Tatizo lenu mnaingilia kazi ambazo siyo zenu. Wewe hesabu za Serikali zinakuhusu nini mpaka unakuja kutuletea hesabu zako wakati siyo kazi yako. Usiwadanganye wanainchi na hesabu zako za kutengeneza kwa kazi ya watu wengine.

Waacheni wenye kazi zao watoe taarifa kwa kazi zao na wewe toa taarifa kwa kazi yako unayofanya.

Kila mtu afanye kazi yake. Unaanza kutupilia hesabu za ndege za jeshi unazijua wewe?

Watanzania tuna shida sana tunapenda kuonekana tunajua sana mambo ya watu wengine wakati hatujui na hayatuhusu.

Maji atajua biashara zake na hesabu, Baharesa atajua kampuni yake vizuri, MO Dewji atajua biashara zake. Na Serikali itajua mambo yake na Taasisi zake kiundani kuliko wewe ndugu.
Ivi unaijua serikali?ivi kama alieandika huu Uzi ameona na anafanya huko ilikoandaliwa na akaona imepikwa akaamua kuja kupiga kelele huku utajuaje?serikali ni wewe na mimi ,,be serious
 
Tatizo lenu mnaingilia kazi ambazo siyo zenu. Wewe hesabu za Serikali zinakuhusu nini mpaka unakuja kutuletea hesabu zako wakati siyo kazi yako. Usiwadanganye wanainchi na hesabu zako za kutengeneza kwa kazi ya watu wengine.

Waacheni wenye kazi zao watoe taarifa kwa kazi zao na wewe toa taarifa kwa kazi yako unayofanya.

Kila mtu afanye kazi yake. Unaanza kutupilia hesabu za ndege za jeshi unazijua wewe?

Watanzania tuna shida sana tunapenda kuonekana tunajua sana mambo ya watu wengine wakati hatujui na hayatuhusu.

Maji atajua biashara zake na hesabu, Baharesa atajua kampuni yake vizuri, MO Dewji atajua biashara zake. Na Serikali itajua mambo yake na Taasisi zake kiundani kuliko wewe ndugu.
Ivi unaijua serikali?ivi kama alieandika huu Uzi ameona na anafanya huko ilikoandaliwa na akaona imepikwa akaamua kuja kupiga kelele huku utajuaje?serikali ni wewe na mimi ,,be serious
 
Tatizo lenu mnaingilia kazi ambazo siyo zenu. Wewe hesabu za Serikali zinakuhusu nini mpaka unakuja kutuletea hesabu zako wakati siyo kazi yako. Usiwadanganye wanainchi na hesabu zako za kutengeneza kwa kazi ya watu wengine.

Waacheni wenye kazi zao watoe taarifa kwa kazi zao na wewe toa taarifa kwa kazi yako unayofanya.

Kila mtu afanye kazi yake. Unaanza kutupilia hesabu za ndege za jeshi unazijua wewe?

Watanzania tuna shida sana tunapenda kuonekana tunajua sana mambo ya watu wengine wakati hatujui na hayatuhusu.

Maji atajua biashara zake na hesabu, Baharesa atajua kampuni yake vizuri, MO Dewji atajua biashara zake. Na Serikali itajua mambo yake na Taasisi zake kiundani kuliko wewe ndugu.
Ivi unaijua serikali?ivi kama alieandika huu Uzi ameona na anafanya huko ilikoandaliwa na akaona imepikwa akaamua kuja kupiga kelele huku utajuaje?serikali ni wewe na mimi ,,be serious
 
Mkuu hapo kwenye 50% kwenda chini sijaelewa mkuuu,,toa darasa
Economic benefits from Bulyanhulu, Buzwagi, and North Mara would be distributed on a 50/50 basis between the new operating company and the Government of Tanzania. The Government’s share of economic benefits would be delivered in the form of royalties, taxes, and a 16 percent free carry interest in the Tanzanian operations.
 
Back
Top Bottom