Hivi tuna haraka sana eeh?

Hivi tuna haraka sana eeh?

TANMO

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2008
Posts
12,046
Reaction score
12,542
MAMAKANUMBANASETH13.jpg

Ona Bango zuri likiwa limebeba ujumbe mzuri kwa Mpendwa Steven Kanumba (R.I.P). Lakini cha ajabu kuna makosa ya kiuandishi na yenye kuonekana kwa urahisi.

Sasa swali langu, huyu mwandishi wa hili Bango hakufanya Proof Reading baada ya kumaliza kuandika?
Hao waliokuja kulichukua pia hawakufanya Proof reading kujiridhisha kuwa kila kitu kipo sawa?
Anyway, Labda wenyewe waliona ni makosa madogo sana kujishughulisha nayo.

Haya hili Gazeti nalo halikubaki nyuma.
View attachment 70638

Hivi ni kwamba tuna haraka sana? Manake hii hata kwa viongozi wetu imekuwa ni jambo la kawaida.
 
ndio hali halisi switihati......hujambo.....?
 
makosa gani niainishie mkuu TANMO
 
Last edited by a moderator:
kwa gazeti nimeelewa, ila kwa hilo bango la kaburi la kanaumba sijaelewa kosa lake!
 
He mbavu zangu mie. Wameandikaje Kwenye gazeti? Ati wagonjwa wa BP 'wanafanywaje' bure.. Ha ha haaa..!! Hii Kali aisee
 
Hapo kwa Kanumba kuna tatizo gani la kiuandishi?
 
Wameandika kuwa...mti wanye matunda mazuri...mmmh sie sawa!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Hakuna vituo wala mkato. Pia neno kama mazuri yakumpendeza lilipashwa kuwa Mazuri ya ku.....nadhani ndo kasema makosa ya kiuandishi!
Hata mie sijaona kosa kwa ile ya RIP...
 
Very stupid 2na haraka sana bila kuwa na sababu za msingi hapa duniani.
 
attachment.php
 

Attachments

  • MAMAKANUMBANASETH13.jpg
    MAMAKANUMBANASETH13.jpg
    76.8 KB · Views: 499

Similar Discussions

Back
Top Bottom