Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,591
- 4,277
Kwa takwimu zisizo Rasmi 75% ya magari yote Tanzania ni aina ya TOYOTA. Suala lililobaki ni kuchukua takwimu kutoka TRA ndani ya miaka 10 ni magari mangapi aina ya TOYOTA yaliingia Tanzania (mapya na yaliyotumika) jumlisha na mengine yalikuwepo ambayo bado yapo barabarani + yale yaliyoagizwa kupitia TZ kwa sababu nalo ni soko.
Twende kuongea nao tukiwa na DATA na sio maneno matupu. Toyota na viwanda vingine vipo kiashara hivyo visababu vya kujibia mitihani haviwashawishi kwani vipo hata kwenye Nchi nyingine.
Tukikosa kiwanda rasmi tunaweza kupata hata centre kubwa ya spea OG za TOYOTA kwa bei poa. Tukiendelea Kulala Usingizi, hiyo fursa itaenda kwa wenzetu walio aggressive kwenye fursa.
Twende kuongea nao tukiwa na DATA na sio maneno matupu. Toyota na viwanda vingine vipo kiashara hivyo visababu vya kujibia mitihani haviwashawishi kwani vipo hata kwenye Nchi nyingine.
Tukikosa kiwanda rasmi tunaweza kupata hata centre kubwa ya spea OG za TOYOTA kwa bei poa. Tukiendelea Kulala Usingizi, hiyo fursa itaenda kwa wenzetu walio aggressive kwenye fursa.