Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,603
Habarini wakuu,
Kama kuna mtu ana uelewa na hichi kitu nitaomba msaada.
Nahitaji ku register kampuni au biashara. Ila kuna mara ya mwisho nilisajili biashara nilivooenda TRA kwa ajili ya TIN ya biashara walitaka niwapatie mkataba wa pango la biashara.
Na baada ya kuwapa wakaanza kupiga mahesabu yao ya sijui withholding tax n.k
Ni mda umepita, nataka kusajili kampuni au biashara ila sasa changamoto yangu ni kwamba ofisi ya hiyi biashara au kampuni nataka iwe nyumbani kwangu kulingana na nature ya shughuli nazotaka fanya.
Sasa naulizia itakuwa ni proper kama wasema nilete mkataba basi nikapeleka huo mkataba wa upangishaji wa nyumba?
Ntaomba ushauri kwa hilo kwa sababu ndo kitu kinanikwamisha.
Asanteeni sanaa
Kama kuna mtu ana uelewa na hichi kitu nitaomba msaada.
Nahitaji ku register kampuni au biashara. Ila kuna mara ya mwisho nilisajili biashara nilivooenda TRA kwa ajili ya TIN ya biashara walitaka niwapatie mkataba wa pango la biashara.
Na baada ya kuwapa wakaanza kupiga mahesabu yao ya sijui withholding tax n.k
Ni mda umepita, nataka kusajili kampuni au biashara ila sasa changamoto yangu ni kwamba ofisi ya hiyi biashara au kampuni nataka iwe nyumbani kwangu kulingana na nature ya shughuli nazotaka fanya.
Sasa naulizia itakuwa ni proper kama wasema nilete mkataba basi nikapeleka huo mkataba wa upangishaji wa nyumba?
Ntaomba ushauri kwa hilo kwa sababu ndo kitu kinanikwamisha.
Asanteeni sanaa