Hivi Tecno ni simu au ni Camera?

Hivi Tecno ni simu au ni Camera?

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
5,082
Reaction score
20,798
Mimi ni mtumiaji wa simu na mpenzi wa simu za samsung s series au note series.

Kuna hizi simu za tecno, naona watu wengi wanazo na wanatumia kuwasiliana, ila kama unavyojua hizi digital devices zinaweza kua mult purpose.

Ndio maana nauliza hizi tecno ni kamera au ni sim, yaani primary function zake ni nini, camera kwa ajili ya picha au sim kwa ajili ya mawasiliano.

Kama ni simu maana yake primary function zake ni mawasiliano na picha hua ni secondary, lakini naona matangazo yake ni more of pictures kuliko ubora katika mawasiliano.

Kila nikiona tangazo la tecno naona ni megapixel tu na mapicha, ndio maana nikashindwa kuewa hizi hua ni simu au camera zenye uwezo wa simu?

Kuuliza sio ujinga wakuu na aulizae anataka kufaham.
 
Ukipigwa picha na camera ya tecno jinsi unavoonekana
deac061e961354f51327203421772472.jpeg
 
Mimi ni mtumiaji wa simu na mpenzi wa simu za samsung s series au note series.

Kuna hizi simu za tecno, naona watu wengi wanazo na wanatumia kuwasiliana, ila kama unavyojua hizi digital devices zinaweza kua mult purpose.

Ndio maana nauliza hizi tecno ni kamera au ni sim, yaani primary function zake ni nini, camera kwa ajili ya picha au sim kwa ajili ya mawasiliano.

Kama ni simu maana yake primary function zake ni mawasiliano na picha hua ni secondary, lakini naona matangazo yake ni more of pictures kuliko ubora katika mawasiliano.

Kila nikiona tangazo la tecno naona ni megapixel tu na mapicha, ndio maana nikashindwa kuewa hizi hua ni simu au camera zenye uwezo wa simu?

Kuuliza sio ujinga wakuu na aulizae anataka kufaham.
Hata hizo camera zao sio nzuri, siku wakitangaza sensor wanayotumia unakuta imetumika na makampuni mengine miaka 3 iliopita.

Hayo matangazo yana aim kwa average joe/jane ili wakanunue bidhaa zao.
 
Kama ni mawasiliano hata nokia tochi wako vizuri, wenzeka siku hizi wana uza VAS. Internet ya kasi, camera picha nzuri na zenye IA kuondoa chunuzi na kisogo na pua kubwa! Storage yakutosha kwa picha, email, video na vinginevyo, security na uimara
 
Wewe Umesema Hutumii Simu Za Tecno Sasa Hata Tukikujibu Itakusaidia Nini?. Watumia Tecno Ndio Tunajua Kama Tunacho kinunua Ni Simu Au Camera.
Wewe Baki Na Samsung Yako Sisi Acha Tuendelee Na Tecno Zetu.


Team Tecno Tukutane Hapa.
 
Acha ujuaji wa kijinga! Yaani unakiri kwamba unaona watu wakizitumia kwa mawasiliano alafu unauliza ni camera au ni simu?

Basi tukujibu kwamba ni camera za mawasiliano
Unatumia Tecno bishaaa
 
TCNO C 8 PEKEE NDIYO SIMU ILIYOKUWA BORA KULIKO SIMU ZINGINE ZOOTE KWA CAMERA, INTERNET NA HATA UWEZO WA BETRII KUKAA NA CHAJI MUDA MREFU.

LAKINI HIZI ZINGINE ZINAZOTOKA KILA BAADA YA MWEZI WALA HAZINA UBORA SAAANA LABDA WARUDIE TOLEO KAMA C 8 KATIKA MUUNDO MWINGINE HIVI.
 
TECNO C 8 PEKEE NDIYO SIMU ILIYOKUWA BORA KULIKO SIMU ZINGINE ZOOTE KWA CAMERA, INTERNET NA HATA UWEZO WA BETRII KUKAA NA CHAJI MUDA MREFU.

LAKINI HIZI TECNO ZINGINE ZINAZOTOKA KILA BAADA YA MWEZI WALA HAZINA UBORA SAAANA LABDA WARUDIE TOLEO KAMA C 8 KATIKA MUUNDO MWINGINE HIVI.
 
Mimi ni mtumiaji wa simu na mpenzi wa simu za samsung s series au note series.

Kuna hizi simu za tecno, naona watu wengi wanazo na wanatumia kuwasiliana, ila kama unavyojua hizi digital devices zinaweza kua mult purpose.

Ndio maana nauliza hizi tecno ni kamera au ni sim, yaani primary function zake ni nini, camera kwa ajili ya picha au sim kwa ajili ya mawasiliano.

Kama ni simu maana yake primary function zake ni mawasiliano na picha hua ni secondary, lakini naona matangazo yake ni more of pictures kuliko ubora katika mawasiliano.

Kila nikiona tangazo la tecno naona ni megapixel tu na mapicha, ndio maana nikashindwa kuewa hizi hua ni simu au camera zenye uwezo wa simu?

Kuuliza sio ujinga wakuu na aulizae anataka kufaham.
Daah unadharau kinoma any way Ipo hivi kwa sisi watumiaji wa tecno tuna zitumia kama simu yani kufanya mawasiliano

Je ni kipi unacho weza kufanya wewe mtumiaji wa wa izo sijuh sumsung ambacho mimi Mwenye tecno ya p5 siwez kukifanya? Ambacho ni primary?
 
Natumia tecno hapa, ndo Simu ya uwezo wangu Mimi...siwezi dharau wengine kwa7b wanatumia Simu kulingana na uwezo wao
Highest level of imferiority complex.

Nani kasema amedharau watumiaji sa Tecno, mimi nimeuliza, wewe unasema nimedharau, nimedharau wapi?
 
Back
Top Bottom