Hivi Tecno ni simu au ni Camera?

Hivi Tecno ni simu au ni Camera?

Mimi siwezi kudharau tecno. Simu yangu ya kwanza kununua kwa boom langu enzi hizo ni tecno P3....mpya kabisa. 145k enzi hizo.

Nikahamia Samsung
Kisha Samsung tena
Sasa hivi nipo Infinix ina mwezi tu.
 
Mimi siwezi kudharau tecno. Simu yangu ya kwanza kununua kwa boom langu enzi hizo ni tecno P3....mpya kabisa. 145k enzi hizo.

Nikahamia Samsung
Kisha Samsung tena
Sasa hivi nipo Infinix ina mwezi tu.
Sasa infinix ndio umemkimbiaje tecno?
 
Unatakiwa ujiamn, hakuna aliedharau watumiaji wa tecno ila nimeuliza nieleweshwe, kwani kuuliza siku hizi hakuruhusiwi? Ukiuliza tu kufahamishwa ndio watu waseme umedharau.

Jambo la pili, hata samsung wana saa ambazo zinaweza kupiga na kupokea sim, kupiga picha na kufanya kazi zote za mawasiliano ila primary function yake ni kuonyesha wakati, functionalities za simu ni secondary,

Swali langu bado liko pale pale, tecno ni simu au camera?
Ni camera
 
mtoa mada ushawahi kuona matangazo ya Iphone??
 
hivi matangazo ya simu za akina samsung hawaonyeshagi camera na mapichapicha??
 
Back
Top Bottom