The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 5,082
- 20,798
- Thread starter
- #21
Unatakiwa ujiamn, hakuna aliedharau watumiaji wa tecno ila nimeuliza nieleweshwe, kwani kuuliza siku hizi hakuruhusiwi? Ukiuliza tu kufahamishwa ndio watu waseme umedharau.Daah unadharau kinoma any way Ipo hivi kwa sisi watumiaji wa tecno tuna zitumia kama simu yani kufanya mawasiliano
Je ni kipi unacho weza kufanya wewe mtumiaji wa wa izo sijuh sumsung ambacho mimi Mwenye tecno ya p5 siwez kukifanya? Ambacho ni primary?
Jambo la pili, hata samsung wana saa ambazo zinaweza kupiga na kupokea sim, kupiga picha na kufanya kazi zote za mawasiliano ila primary function yake ni kuonyesha wakati, functionalities za simu ni secondary,
Swali langu bado liko pale pale, tecno ni simu au camera?
