Hivi Tecno ni simu au ni Camera?

Hivi Tecno ni simu au ni Camera?

Daah unadharau kinoma any way Ipo hivi kwa sisi watumiaji wa tecno tuna zitumia kama simu yani kufanya mawasiliano

Je ni kipi unacho weza kufanya wewe mtumiaji wa wa izo sijuh sumsung ambacho mimi Mwenye tecno ya p5 siwez kukifanya? Ambacho ni primary?
Unatakiwa ujiamn, hakuna aliedharau watumiaji wa tecno ila nimeuliza nieleweshwe, kwani kuuliza siku hizi hakuruhusiwi? Ukiuliza tu kufahamishwa ndio watu waseme umedharau.

Jambo la pili, hata samsung wana saa ambazo zinaweza kupiga na kupokea sim, kupiga picha na kufanya kazi zote za mawasiliano ila primary function yake ni kuonyesha wakati, functionalities za simu ni secondary,

Swali langu bado liko pale pale, tecno ni simu au camera?
 
Oyooooooo
Wewe Umesema Hutumii Simu Za Tecno Sasa Hata Tukikujibu Itakusaidia Nini?. Watumia Tecno Ndio Tunajua Kama Tunacho kinunua Ni Simu Au Camera.
Wewe Baki Na Samsung Yako Sisi Acha Tuendelee Na Tecno Zetu.


Team Tecno Tukutane Hapa.
 
Mimi ni mtumiaji wa simu na mpenzi wa simu za samsung s series au note series.

Kuna hizi simu za tecno, naona watu wengi wanazo na wanatumia kuwasiliana, ila kama unavyojua hizi digital devices zinaweza kua mult purpose.

Ndio maana nauliza hizi tecno ni kamera au ni sim, yaani primary function zake ni nini, camera kwa ajili ya picha au sim kwa ajili ya mawasiliano.

Kama ni simu maana yake primary function zake ni mawasiliano na picha hua ni secondary, lakini naona matangazo yake ni more of pictures kuliko ubora katika mawasiliano.

Kila nikiona tangazo la tecno naona ni megapixel tu na mapicha, ndio maana nikashindwa kuewa hizi hua ni simu au camera zenye uwezo wa simu?

Kuuliza sio ujinga wakuu na aulizae anataka kufaham.
kuna kampuni zipo nchini kukusanya mitaji ili kwenda kwao.sizani kama tecno utaikuta nchi za ulaya.angalia kuanzia simu zao
 
Wewe Umesema Hutumii Simu Za Tecno Sasa Hata Tukikujibu Itakusaidia Nini?. Watumia Tecno Ndio Tunajua Kama Tunacho kinunua Ni Simu Au Camera.
Wewe Baki Na Samsung Yako Sisi Acha Tuendelee Na Tecno Zetu.


Team Tecno Tukutane Hapa.
 
Mimi ni mtumiaji wa simu na mpenzi wa simu za samsung s series au note series.

Kuna hizi simu za tecno, naona watu wengi wanazo na wanatumia kuwasiliana, ila kama unavyojua hizi digital devices zinaweza kua mult purpose.

Ndio maana nauliza hizi tecno ni kamera au ni sim, yaani primary function zake ni nini, camera kwa ajili ya picha au sim kwa ajili ya mawasiliano.

Kama ni simu maana yake primary function zake ni mawasiliano na picha hua ni secondary, lakini naona matangazo yake ni more of pictures kuliko ubora katika mawasiliano.

Kila nikiona tangazo la tecno naona ni megapixel tu na mapicha, ndio maana nikashindwa kuewa hizi hua ni simu au camera zenye uwezo wa simu?

Kuuliza sio ujinga wakuu na aulizae anataka kufaham.
... Ni fridge.
 
😂😂😂😂😂
huyo mtu aliyepigwa picha na Tecno ndivyo alivyo
hebu leteni picha ingine ya huyohuyo mtu km ni original au amepigwa na simu ingine
acheni ujuha mnauliza swali la chooni wakati tundu mnaliona?
Hivi Tecno ni simu au ni Camera?
 
Daah unadharau kinoma any way Ipo hivi kwa sisi watumiaji wa tecno tuna zitumia kama simu yani kufanya mawasiliano

Je ni kipi unacho weza kufanya wewe mtumiaji wa wa izo sijuh sumsung ambacho mimi Mwenye tecno ya p5 siwez kukifanya? Ambacho ni primary?

Mkuu embu fungua link hii kisha upost humu screenshot. 上海超级全景
 
Back
Top Bottom