komanyahenry
JF-Expert Member
- Sep 15, 2017
- 903
- 1,352
Wanaishia kupewa ruzuku na serikali halafu wanashindwa kufanya mambo ya maana, ila Tido Mhando alijitahidi sana kuibadirisha hii television, sijui Dr Rioba anakwama wapi?HIVI HAWAPEWA MITAMBO YA KISASA?
INASHANGAZA SANA MKUUWanaishia kupewa ruzuku na serikali halafu wanashindwa kufanya mambo ya maana, ila Tido Mhando alijitahidi sana kuibadirisha hii television, sijui Dr Rioba anakwama wapi?
Mambo ya kawaida sana hayo, kuna michina ya kila ainaKaka naona una flat screen moja matata sana umeining'iniza ukutani
Huwezi kuona ratiba za vipindi vyao kwenye info kwenye ving'amuzi halafu hawajui hata matumizi ya PG. niliona wanaonyesha katuni halagu wameweka PG 13. Maaba yake ni kuwa wasiangalie watu chini ya miaka 13
Na taarifa ya habari ya saa mbili bado kuna PG13
kuna cartoon za adults only mkuu..., mfano southpark, na familyguy zile language kwa vijana wadogo hazifai (weka mbali na watoto even PG13)
View attachment 1176125View attachment 1176130
kuna cartoon za adults only mkuu..., mfano southpark, na familyguy zile language kwa vijana wadogo hazifai (weka mbali na watoto even PG13)
View attachment 1176125View attachment 1176130
Naangalia Dr Shein akifunga maonesho ya viwanda ya SADC ikiwa ni mubashara, nikajaribu kufuatilia television zinazorusha mubashara tukio ili muhimu ni ITV, EATV, Channel Ten na TBC, kufika hiyo television ya taifa nimekutana na kitu cha ajabu sana, nashindwa kuelewa kama hakuna wataalamu wanaoweza kuleta mageuzi kwenye hiyo television. Kwanza rangi ni mbovu kushinda hata Dira TV. Pili, licha ya kuwa mlengwa ni Dr Shein lakini sidhani kama ilikuwa ni sahihi kuwakata/ kuoneshwa nusu sura kwa walinzi wa Rais wetu wazanzibarView attachment 1175712View attachment 1175714View attachment 1175715
Mtu anafanya kazi ibisii halafu anajiona bonge la mjanja!?Hayo ndo mambo ya kina Anganile wa TBC, wanajiona wajaaaanja