Naangalia Bunge letu muda huu, vituo vya ITV, Star TV na Channel Ten wanaonyesha mubashara lakini TBC ambayo ndio nadhani ilitakiwa kuwa mstari wa mbele kuonyesha tukio kama hilo wao wameweka kipindi cha marudio cha Mizani ya wiki sijui, sasa kama kituo hiki ndio cha walalahoi na kinajiendesha kwa kodi zetu inakuwaje wasionyeshe Bunge live kama vituo vingine, nadhani kuna shida mahali.
Tafadhali rekebisheni hili.
Tafadhali rekebisheni hili.