Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmh hata cjui kama litaonesha ila kwa wazanzibar najua ZBC wana akili wataonesha tu. Mnaonaje tugome hela yetu ya kodi isiende kule maana hakuna tija yoyote... Nchi hii bhana..
Yani tunaishi ka madigidigi...
Our life is not assured at all..
TV linakula kodi zetuuuu.....
Busy kurusha mambo live yasiyo na tija.
Fff....
Nauliza.
Michuano inaanza lini?DSTV .....
WATANGAZAJI... SALAMA JABIR, OSCAR OSCAR , EDO KUMWEMBE, ABOUBAKAR LYONGO, MAULI KITENGE
Hii ZBC2 si wangeiita Azam3 tuu? As undugu wao nauona ni kama Channel 10 na Radio Uhuru au TBC1 na MaelezoMmmmh hata cjui kama litaonesha ila kwa wazanzibar najua ZBC wana akili wataonesha tu. Mnaonaje tugome hela yetu ya kodi isiende kule maana hakuna tija yoyote.
hama..una uhuru wa kuishi nchi uipendayo.
Ile ZBC2 hata wanaotangaza mpira ni wa Azam TV.Hii ZBC2 si wangeiita Azam3 tuu? As undugu wao nauona ni kama Channel 10 na Radio Uhuru au TBC1 na Maelezo
Nihamishie uswisi mkuu,hata keshohama..una uhuru wa kuishi nchi uipendayo.
Nadhani kishindo cha awamu ya5 ni kipindi kizuri sana bila kusahau safari ya dodoma hujakaa vzr unakumbana na zis week in paspektivu boonge moja ya showSasa tuna nini cha kujivunia na LI TBC!??
This is very bad.
hata Somalia au sudani kusiniAende nchi gani
Umesahau TUNATEKELEZANadhani kishindo cha awamu ya5 ni kipindi kizuri sana bila kusahau safari ya dodoma hujakaa vzr unakumbana na zis week in paspektivu boonge moja ya show
Usisahau CherekkoNadhani kishindo cha awamu ya5 ni kipindi kizuri sana bila kusahau safari ya dodoma hujakaa vzr unakumbana na zis week in paspektivu boonge moja ya show