Hivi TBC itaonesha AFCON..!?

blogger

JF-Expert Member
Mar 13, 2012
10,364
12,473
.. Nchi hii bhana..
Yani tunaishi ka madigidigi...

Our life is not assured at all..
TV linakula kodi zetuuuu.....

Busy kurusha mambo live yasiyo na tija.

Fff....

Nauliza.
 
.. Nchi hii bhana..
Yani tunaishi ka madigidigi...

Our life is not assured at all..
TV linakula kodi zetuuuu.....

Busy kurusha mambo live yasiyo na tija.

Fff....

Nauliza.
Mmmmh hata cjui kama litaonesha ila kwa wazanzibar najua ZBC wana akili wataonesha tu. Mnaonaje tugome hela yetu ya kodi isiende kule maana hakuna tija yoyote.
 
DSTV .....
WATANGAZAJI... SALAMA JABIR, OSCAR OSCAR , EDO KUMWEMBE, ABOUBAKAR LYONGO, MAULI KITENGE
 
Mmmmh hata cjui kama litaonesha ila kwa wazanzibar najua ZBC wana akili wataonesha tu. Mnaonaje tugome hela yetu ya kodi isiende kule maana hakuna tija yoyote.
Hii ZBC2 si wangeiita Azam3 tuu? As undugu wao nauona ni kama Channel 10 na Radio Uhuru au TBC1 na Maelezo
 
Mmmmh hata cjui kama litaonesha ila kwa wazanzibar najua ZBC wana akili wataonesha tu. Mnaonaje tugome hela yetu ya kodi isiende kule maana hakuna tija yoyote.
Sasa tuna nini cha kujivunia na LI TBC!??

This is very bad.
 
Nadhani kishindo cha awamu ya5 ni kipindi kizuri sana bila kusahau safari ya dodoma hujakaa vzr unakumbana na zis week in paspektivu boonge moja ya show

😂😂😂😂

Umesahau Chereko...
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom