Hivi Tanzania kuna msanii yeyote anamzidi Ally Kiba kwa ubinafsi na unafiki?

Kiba ni kwamba ni mpole na mkimya....hanaga time ya kujigamba kuongea ongea pasipo sababu...kiufupi jamaa ni mkimya ila mziki wake ni mzuri

Mwisho wa siku tunachojali ni matunda ya mziki na sio jitihada za kufollow au kuwawish birthday wenzie
 
jamaa mbinafsi ndo maana haendelei
Nyie mnataka awe na maendeleo gani?

swali..

Vipi nyie mmemzidi maendeleo?


MNAICHUKULIAJE HII;

Mtu anayetoa msaada kwa kujitangaza kwenye media kuwa katoa mchango..
Au mtu ambaye hajitangazi kwenye media wakati akitoa mchango, Ni yupi bora hapo?


Mkinijibu hili swali hapa juu , Mtakuwa mmeshapata jibu la swali lenu


Umeona eeh team kibakuli hawataki kuukubali ukweli
 
Nyie mnataka awe na maendeleo gani?

swali..

Vipi nyie mmemzidi maendeleo?


Inaichukuliaje hii;

Mtu anayetoa msaada kwa kujitangaza kwenye media kuwa katoa mchango..
Au mtu ambaye hajitangazi kwenye media wakati akitoa mchango?

Mkinijibu hili swali hapa juu , Mtakuwa mmeshapata jibu la swali lenu
Huwa hatoi michango huyo na akitoa lazima watu wajue , kwa mfano mondi juzi juzi hapa alitoa mchango wa mil 20 kwenye taasisi fulani hivi jina limenitoka kidogo, baada ya siku mbili kibakuli nae huyo akaenda kutoa mil 21 unaambiwa ile kila mtu alijua kwamba kiba katoa mil 21 ya msaada


Mondi kuna baadhi ya wanafunzi ambao ni mashabiki wake anawasomesha shule za gharama ,je wewe ushawahi kusikia hii kitu ??
Bila shaka jibu lako litakuwa ni hapana ,huu ni mfano tu kuwa mondi ni mtu wa watu na mara nyingi anasaidia kimya kimya tofauti na huyo kibakuli
 
Una kazi za kufanya we ujiulizi kwanini unatumia mudawako kumuongelea uyo no star dogo waza maisha yako...eti happy birthday
 
Mbona jamaa yuko poa sana sema uteam ndio unawafanya mashabiki maandazi kama wewe kuanza kuleta habari za kizushi huku!
1476064738696.jpg
1476064749791.jpg
 
Wadau nauliza tu hivi TZ kuna msanii yeyote anayemzidi Ally Kibakuli kwa ubinafsi na unafiki??

Kibakuli namuona mbinafsi na mnafki kwa kuwa sijawahi kuona hata mara moja akimu wish mtu yeyote siku ya kuzaliwa au kumpa pongezi yoyote msanii mwenzake ikiwemo kumpost kwenye mitandao ya kijamii kwa kumpa pongezi

Pia sijawahi kuona Kiba akisifia cha mwenzake kutoka moyoni kusifia kwake ukimuangalia usoni unaona kabisa hii pongezi haijatoka moyoni


Mimi navyoona Kiba alivyokuwa mdogo alikuwa akiimbiwa afiche vitu anavyonunuliwa ili atumie peke yake au hata chakula inawezekana alikuwa anakula chobingo akimaliza ndo anaenda kwa wenzake ,maana duuuuuh huyu jamaa ana roho mbaya alafu mbinafsi kichizi



We chukulia mfano insta ana followers millioni moja na ushee lakini yeye hamfollow mtu yeyote yule sasa kama huu sio ubinafsi ni nini??



View attachment 415252



Watu wa karibu wa Ally Kibakuli mshauri abadilike bhana la sivyo hata ikiwezekana iko cheo chake cha ubalozi wa wanyama anyang'anywe tu balozi gani ana roho mbaya namna hii kwa binadamu wenzake ataweza kupenda wanyama kweli??
Copied and pasted from Le Mutuzz.
Ingawaje ye hakutaja jina we umeamua kumlipua....
 
Kiba ni kwamba ni mpole na mkimya....hanaga time ya kujigamba kuongea ongea pasipo sababu...kiufupi jamaa ni mkimya ila mziki wake ni mzuri

Mwisho wa siku tunachojali ni matunda ya mziki na sio jitihada za kufollow au kuwawish birthday wenzie
Aisee kiba ana dharau ile mbaya n majigambo sema ujawahi bahatika kukaa krbu nae ndo maana unamuona mpole pole on camera ila off camera utoamini
 
we ukapimwe akili ali tangia arudi amekuwa ni moto niambie msanii yupi bongo analipwa pesa kubwa baada ya diamond unaongea pumba
hatuongelei kulipwa!
tumeongelea ubinafsi, na uchoyo
kiba ni mbinafsi, anajikweza kupita maelezo
ndio maana hata ben alimwambia kiba ni overrated!!

anasifiwa kuliko uwezo wake
mashabiki zake mnajitahidi sana kumweka juu..
ili hali mwenyewe hana habari wala hana shukrani!!
na kiba mashabiki zake ni anti diamond!
watu wasiopenda mafanikio ya diamond, hamna lolote

na huyo kiba hio ela madafu anayolipwa mpaka leo kaifanyia nini?
show mpaka mombasa kenya!!!
em nieleleze manufaa ya kiba?!!! ndugu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom