brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,264
- 2,275
- Thread starter
- #21
Usimsikilize huyo anatania tu
Kumbe tatizo ndio hilo!!?
Usimsikilize huyo anatania tu
Kumbe tatizo ndio hilo!!?
DaaaahHahaa muulize hanse......View attachment 415259
duuuuh kwa hiyo wenzake wote washamba ila yeye ndo mjanja sio??Hana huo mda wakuangaika na washamba
Nyie mnataka awe na maendeleo gani?jamaa mbinafsi ndo maana haendelei
Umeona eeh team kibakuli hawataki kuukubali ukweli
Huwa hatoi michango huyo na akitoa lazima watu wajue , kwa mfano mondi juzi juzi hapa alitoa mchango wa mil 20 kwenye taasisi fulani hivi jina limenitoka kidogo, baada ya siku mbili kibakuli nae huyo akaenda kutoa mil 21 unaambiwa ile kila mtu alijua kwamba kiba katoa mil 21 ya msaadaNyie mnataka awe na maendeleo gani?
swali..
Vipi nyie mmemzidi maendeleo?
Inaichukuliaje hii;
Mtu anayetoa msaada kwa kujitangaza kwenye media kuwa katoa mchango..
Au mtu ambaye hajitangazi kwenye media wakati akitoa mchango?
Mkinijibu hili swali hapa juu , Mtakuwa mmeshapata jibu la swali lenu
hance mtanashati umemuona real tunda???,
,nimemuona mkuuhance mtanashati umemuona real tunda???,
wala sio nia yangu hiyo nimeongea ukweli mtupu na ukweli unauma ,kingine team kibakuli hawapendi kuambiwa ukweliWe leo unaham y kuwachokonoa Team kiba
we ukapimwe akili ali tangia arudi amekuwa ni moto niambie msanii yupi bongo analipwa pesa kubwa baada ya diamond unaongea pumbajamaa mbinafsi ndo maana haendelei
Copied and pasted from Le Mutuzz.Wadau nauliza tu hivi TZ kuna msanii yeyote anayemzidi Ally Kibakuli kwa ubinafsi na unafiki??
Kibakuli namuona mbinafsi na mnafki kwa kuwa sijawahi kuona hata mara moja akimu wish mtu yeyote siku ya kuzaliwa au kumpa pongezi yoyote msanii mwenzake ikiwemo kumpost kwenye mitandao ya kijamii kwa kumpa pongezi
Pia sijawahi kuona Kiba akisifia cha mwenzake kutoka moyoni kusifia kwake ukimuangalia usoni unaona kabisa hii pongezi haijatoka moyoni
Mimi navyoona Kiba alivyokuwa mdogo alikuwa akiimbiwa afiche vitu anavyonunuliwa ili atumie peke yake au hata chakula inawezekana alikuwa anakula chobingo akimaliza ndo anaenda kwa wenzake ,maana duuuuuh huyu jamaa ana roho mbaya alafu mbinafsi kichizi
We chukulia mfano insta ana followers millioni moja na ushee lakini yeye hamfollow mtu yeyote yule sasa kama huu sio ubinafsi ni nini??
View attachment 415252
Watu wa karibu wa Ally Kibakuli mshauri abadilike bhana la sivyo hata ikiwezekana iko cheo chake cha ubalozi wa wanyama anyang'anywe tu balozi gani ana roho mbaya namna hii kwa binadamu wenzake ataweza kupenda wanyama kweli??
Aisee kiba ana dharau ile mbaya n majigambo sema ujawahi bahatika kukaa krbu nae ndo maana unamuona mpole pole on camera ila off camera utoaminiKiba ni kwamba ni mpole na mkimya....hanaga time ya kujigamba kuongea ongea pasipo sababu...kiufupi jamaa ni mkimya ila mziki wake ni mzuri
Mwisho wa siku tunachojali ni matunda ya mziki na sio jitihada za kufollow au kuwawish birthday wenzie
hatuongelei kulipwa!we ukapimwe akili ali tangia arudi amekuwa ni moto niambie msanii yupi bongo analipwa pesa kubwa baada ya diamond unaongea pumba