Hivi Kuna Ubaya Kumsifia Diamond na Ally Kiba Kwa Pamoja?

mgoshawampasa

Senior Member
Jul 30, 2014
105
27
Mi naamini hakuna ubaya kumsifia Diomond kwa jitihada alizozifanya mpaka kufika alipo sasa na anazoendelea kuzifanya kuendelea kusonga mbele. Pia kwa m2 yeyote asiye na chuki binafsi na dogo hata bisha nikisema kijana anajua kuishi kama star maana m2 unaweza kuamua kuwa star au mtu wa kawaida na kamwe haiwezi kuwa vyote kwa pamoja. Pili czan kama kuna shida kumsifia Ally Kiba as long as humpondi mwingine koz Kiba ni mzuri wa kuimba na anatunga nyimbo nzuri. So kwangu mimi Diomond na Kiba wote ni wazuri lakini wanatofautiana pia and all are Tanzanian artist with a lot of funs. Mwisho we can all be funs of both of them coz we love them all.
 
i wish iwe hivyo yani, i will pray for that, tungeporomoshewa burudani mpaka tuchanganyikiwe.
 
Tatizo kuna watu hawampendi Diamond, wanamtumia Kiba kama daraja la kuonyesha chuki zao...!
Sio kwamba wanampenda sanaa Kiba, ila wana chuki na Diamond...Akitajwa tu basi nanihiii zinawawashaaa...
 
Tatizo kuna watu hawampendi Diamond, wanamtumia Kiba kama daraja la kuonyesha chuki zao...!
Sio kwamba wanampenda sanaa Kiba, ila wana chuki na Diamond...Akitajwa tu basi nanihiii zinawawashaaa...

Cc warumi
 
Hivi kwanza unaanzaje kumchukia mtu ambaye hamjakorofishana wala hamjuani?
 
hakuna ubaya hata kidogo kila mmoja ana kipaji chake kizuri kinachowavutia waTz kwa nafasi tofauti
 
Watasifiwa panapostahili....kila mtu kwa nafasi yake. Ila kuwapenda wote mmmmhh.....lazima tu kutakuwa na mmoja unayemkubali zaidi!

As for me, Diamond yuko juu sana kimafanikio na kiasi fulani amefanikiwa kuliteka soko la kimataifa but when it comes to taste dah Alli K is my taste bhana.....nyimbo zake zinanikosa sana. The dude knows how to sing aseee!! Kwangu mimi hakunaga kama Kiba He is my favourite!!

Ila sasa tukibadili kidogo aina ya muziki ndo tunakutana na wakali wao Banana Zorro na Christian Bella......hawa nao mziki wao si mchezo yaani!

Ila tatizo kubwa lililoko kwetu sie mashabiki ni zile elements za unafiki. Kuna watu kazi yao ni kuponda tu hata pasipostahili. Unakuta mtu kama hamkubali msanii flani aidha Diamond au Kiba....basi lolote litakalozungumziwa kuhusu huyo msanii haijalishi ni jema ama baya, yeye ataponda tuu kwa nguvu zake zote na ikitokea mwingine akasifia basi inakuwa shida mara mia nane ka si ugomvi kabisa!! Likewise.....unakuta mtu anamkubali either of the artists.....basi lolote litakalozungumzwa juu yake, yeye atasifia tuuu kwa nguvu zote hata kama msanii msanii kabolonga ama kafanya jambo ambalo hakustahili sifa nzuri......sasa kimbembe mtu mwingine atokee amkosoe hapo inakuwa ni ugomvi tena kama si mtu kuambiwa ana wivu!!

Anyways....si mbaya tukakosoa ama kusifia panapostahili haijalishi we ni shabiki namba moja au namba ziro. Na wale wasopenda msanii wao mpendwa akosolewa basi hao hawafai na ndo wachonganishi nambari wani probably hawawatakii mema wasanii wao as huwa wanamuatack kila anayejaribu kutoa kasoro!!
 
mi nawapenda wote kwa sababu wote ni wakali ila dimpoz simpendi kabisa yeye kama yeye yaani chuki binafsi ila dah nyimbo ya mama wamenikosha mbaya kabisa
 
Mi naamini hakuna ubaya kumsifia Diomond kwa jitihada alizozifanya mpaka kufika alipo sasa na anazoendelea kuzifanya kuendelea kusonga mbele. Pia kwa m2 yeyote asiye na chuki binafsi na dogo hata bisha nikisema kijana anajua kuishi kama star maana m2 unaweza kuamua kuwa star au mtu wa kawaida na kamwe haiwezi kuwa vyote kwa pamoja. Pili czan kama kuna shida kumsifia Ally Kiba as long as humpondi mwingine koz Kiba ni mzuri wa kuimba na anatunga nyimbo nzuri. So kwangu mimi Diomond na Kiba wote ni wazuri lakini wanatofautiana pia and all are Tanzanian artist with a lot of funs. Mwisho we can all be funs of both of them coz we love them all.

Kama wenyewe Kiba na Diamond hawatakiani mema basi ni sawa na kishabikia both Simba na Yanga!!
 
Mi naamini hakuna ubaya kumsifia Diomond kwa jitihada alizozifanya mpaka kufika alipo sasa na anazoendelea kuzifanya kuendelea kusonga mbele. Pia kwa m2 yeyote asiye na chuki binafsi na dogo hata bisha nikisema kijana anajua kuishi kama star maana m2 unaweza kuamua kuwa star au mtu wa kawaida na kamwe haiwezi kuwa vyote kwa pamoja. Pili czan kama kuna shida kumsifia Ally Kiba as long as humpondi mwingine koz Kiba ni mzuri wa kuimba na anatunga nyimbo nzuri. So kwangu mimi Diomond na Kiba wote ni wazuri lakini wanatofautiana pia and all are Tanzanian artist with a lot of funs. Mwisho we can all be funs of both of them coz we love them all.

u r a great thinker
 
Watasifiwa panapostahili....kila mtu kwa nafasi yake. Ila kuwapenda wote mmmmhh.....lazima tu kutakuwa na mmoja unayemkubali zaidi!

As for me, Diamond yuko juu sana kimafanikio na kiasi fulani amefanikiwa kuliteka soko la kimataifa but when it comes to taste dah Alli K is my taste bhana.....nyimbo zake zinanikosa sana. The dude knows how to sing aseee!! Kwangu mimi hakunaga kama Kiba He is my favourite!!

Ila sasa tukibadili kidogo aina ya muziki ndo tunakutana na wakali wao Banana Zorro na Christian Bella......hawa nao mziki wao si mchezo yaani!

Ila tatizo kubwa lililoko kwetu sie mashabiki ni zile elements za unafiki. Kuna watu kazi yao ni kuponda tu hata pasipostahili. Unakuta mtu kama hamkubali msanii flani aidha Diamond au Kiba....basi lolote litakalozungumziwa kuhusu huyo msanii haijalishi ni jema ama baya, yeye ataponda tuu kwa nguvu zake zote na ikitokea mwingine akasifia basi inakuwa shida mara mia nane ka si ugomvi kabisa!! Likewise.....unakuta mtu anamkubali either of the artists.....basi lolote litakalozungumzwa juu yake, yeye atasifia tuuu kwa nguvu zote hata kama msanii msanii kabolonga ama kafanya jambo ambalo hakustahili sifa nzuri......sasa kimbembe mtu mwingine atokee amkosoe hapo inakuwa ni ugomvi tena kama si mtu kuambiwa ana wivu!!

Anyways....si mbaya tukakosoa ama kusifia panapostahili haijalishi we ni shabiki namba moja au namba ziro. Na wale wasopenda msanii wao mpendwa akosolewa basi hao hawafai na ndo wachonganishi nambari wani probably hawawatakii mema wasanii wao as huwa wanamuatack kila anayejaribu kutoa kasoro!!

well said
 
Back
Top Bottom