View attachment 416754
Mazingira nayo yanachangia, mtu kazoea kuishi Kalahari huko unategemea asiwe mbinafsi kweli.
Hata ile movie aliyo igiza alileta roho mbaya kwenye chupa tupu ya coka.
Ha ha haKwani ku mu wish mtu ni lazima?toa umbea wako hapa peleka huko Instagram
usirudie tenaha ha ha walinipa ban bhana
Kiba akipost tembo cc tunapost SHOWAli Kiba anaweza kuwa si mbinafsi, hana communication skills tuu, na pia anakosa menejiment bunifu at least ya kumfanya awe ana wasiliana na washabiki wake, hasa kuto mfollow mtu hata mmoja huko IG nadhani ni kosa la kiufundi menejment yake ina takiwa iliangalie
*lakini kama hai mcost kimuziki bas tumuache aish maisha yake
Ndo anafurahia ikiwa hivo
Aisee acha dhambi.View attachment 416754
Mazingira nayo yanachangia, mtu kazoea kuishi Kalahari huko unategemea asiwe mbinafsi kweli.
Hata ile movie aliyo igiza alileta roho mbaya kwenye chupa tupu ya coka.
Ban isipokuhusu natembea uchi mpk kibahaView attachment 416754
Mazingira nayo yanachangia, mtu kazoea kuishi Kalahari huko unategemea asiwe mbinafsi kweli.
Hata ile movie aliyo igiza alileta roho mbaya kwenye chupa tupu ya coka.
duuuuh aya bhanakweli je?
wangekupiga km wiki hivi
ndiyoo!!je?duuuuh aya bhana