mbweta
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 600
- 81
Mara ya kwanza kulikuwa na tangazo la kuvunja ukimya hasa kipind cha kombe la dunia lilidhaminiwa na watu wa marekani, saiz kuna tangazo/mabango ya funga mkanda limedhaniwa na watu wa umoja wa ulaya yani sie kufunga mkanda au kuvunja ukimya mpaka mtu atuambie?