Hivi Tanzania kila jambo lazima tuzaminiwe?

mbweta

JF-Expert Member
Dec 10, 2010
600
81
Mara ya kwanza kulikuwa na tangazo la kuvunja ukimya hasa kipind cha kombe la dunia lilidhaminiwa na watu wa marekani, saiz kuna tangazo/mabango ya funga mkanda limedhaniwa na watu wa umoja wa ulaya yani sie kufunga mkanda au kuvunja ukimya mpaka mtu atuambie?
 
Watanzania ni washobokaji. Na wala siyo Watanzania tu. Niseme Waafika kwa ujumla wetu.

Sasa nimepata nyepesi kuwa Obama anakuja Tanzania mwezi huu. Subiri uone jinsi tutakavyoshoboka. Tutashoboka mpaka tutatia aibu.

Subiri uone watu watakavyomsifia mke wa Obama. Watasema sijui mzuri (ingawa binafsi sidhani kama ni mzuri hivyo manake hata taji la miss Harvard hawezi kushinda)….watasema eti anajua kuvaa….wakati anavaa kawaida tu.

You heard it here first…mark my words.
 
Watanzania ni washobokaji. Na wala siyo Watanzania tu. Niseme Waafika kwa ujumla wetu.

Sasa nimepata nyepesi kuwa Obama anakuja Tanzania mwezi huu. Subiri uone jinsi tutakavyoshoboka. Tutashoboka mpaka tutatia aibu.

Subiri uone watu watakavyomsifia mke wa Obama. Watasema sijui mzuri (ingawa binafsi sidhani kama ni mzuri hivyo manake hata taji la miss Harvard hawezi kushinda)….watasema eti anajua kuvaa….wakati anavaa kawaida tu.

You heard it here first…mark my words.
Acha wivu wa kike
 
Mimi siwezi kujumuisha "Miafrika" yote katika kapu moja, kila taifa la Afrika lina mambo yake. Lakini ninaweza kusema "Mitanzania ndivyo tulivyo kwa kufadhiliwa". Mfano mzuri ni suti za Vasco da Gama.
Mbali ya kufadhiliwa katika bajeti yetu, bado hatuoni haya kufadhiliwa hata kuzoa taka tunazozalisha wenyewe, tena sisemi kwenye kilimo, elimu, afya, maji, barabara. Laiti tungelikuwa na haya kidogo pamoja na nadhari, tungeelekeza nguvu zetu zote katika elimu na afya. Lakini wapi!
Ikiwa kufadhiliwa ni utumwa, hivyo ndivyo tulivyo "Mitanzania" (ashakum sio matusi).
 
Back
Top Bottom