Hivi Tanzania haina CRITICAL THINKERS?

Hivi Tanzania haina CRITICAL THINKERS?

Kama TANESCO inauzwa kwa Symbion tunataka yatokee yale mambo ya NETGROUP solutions.
 
Wanaokuponda "Critical Mind" labda ndio wanaohusika na uvivu wa kufikiri au kutokufanya majukumu yao.. Hao hao critical minds tulio nao, kweli hawawezi...:- -kufikiri kwamba mitaro barabarani tuliyonayo, ni hatari kwa watembea miguu, baiskeli na vyombo vya moto? -kufikiri kuwa hili jua kali kweli tunashindwa kulitumia na kusambaza kwenye taa za kuongoza magari barabarani na badala ya kutegemea umeme? -pia kukuna kichwa chao, na kulitumia tena jua kusambaza taa za barabarani kwa watembea miguu hasa kwenye sehemu zenye giza? -kufikiri kuwa imefika wakati magari mabovu yakataliwe kuingia barabarani na kuhakikisha kweli yanafanyiwa "test" ya aina fulani kila mwaka? -kufikiri kuwa silaha za moto hazina haja kumilikiwa na wananchi wake, hasa kama tuna vyombo vya dola vya kutulinda? -tatizo la maji lisiwe la kisiasa bali haki ya lazima kwa mwanachi? -kufikiria kuwa umefika wakati "civil servants" wawe kama wafanyakazi wa makampuni binafsi, hasa kwa mtindo wa kuchelewa ofisini, kutokua na "performance reviews" na muhimu kuliko yote, "customer servicves", hapo ndio balaa..! -kufikiria kuwa kuwe na vipimo vya ujazo wa abiria kwenye daladala, bodaboda na bajaj? -kufikiria kuwa tatizo la usafiri kwa watoto wa shule bado halijapatiwa ufumbuzi yakinifu? -kufikiria kuwa....................
 
Critical thinking ya nini wakati sisi tushasema zudumu fikra za menyekiti?


Mambo ya critical thinking waaachieni wazungu na nchi zilizoendelea sisi. Mambo hayo maybe after 200years

Good topic wrong platform with wrong audience


Acha tupige soga sie hapa

Ha haa haa,dahq mkuu nimecheka sana
 
Lakini mleta uzi speaks only on the negative issues bila kuleta proposals za utatuzi anazoona yeye kwan.Hii TZ yetu sote
 
Najarabi kulinganisha ^^above pic na ile ya king Faisal hospital Rwanda iliyokuwepo kwenye jukwaa majuzi. No comment.
 
Kama TANESCO inauzwa kwa Symbion tunataka yatokee yale mambo ya NETGROUP solutions.

Zanzibar baada ya 'critical thinking' wameamua kuuza majenereta ya umeme(34mw) msaada wa wafadhili. On what grounds? Too expensive to run! Any back-up plans in the event undersea power cable fails? vibatari vipo. Okay.
 

-wewe na wenzio mlivyo busy kurukia thread na kuzifanyia mizaha bila hta kuchallenge core ideas.
-Andengenye kaua watu kapata promo.
-Novatusi karudha ujinga kapewa ukuu wa wilaya.

-Komba kaimba wimbo kapewa NEC na Ubunge..leo mitumbo km MALKIA WA MCHWA...

-Mbatia angekuwa CCM angepewa wizara ya ujenzi km si kuundiwa wizara ya majanga na uokoaji baada ya lile tukio ya kuporomoka jengo kariakoo.
 
Critical thinkers wapo na critical threads zipo kibao tuu ila kwa vile na mleta mada ni unidirectional, na myopic, vision yake inaona upande mmoja tuu kama hizo picha kwenye bandiko lake.

Kama ni kweli uko genuine huwajui, tunaweza kukusaidia na kukuelekeza kwenye thread na threads za critical issues!.
Pasco.


[FONT=Geneva,Arial,sans-serif]Rubbish, pure unadulterated rubbish.

You don't get any better niggler. All we ever see from you is this half baked mystical twaddle. Why don't you actually stop and analyse the stuff you write before you post it?


[/FONT]
 
Zanzibar baada ya 'critical thinking' wameamua kuuza majenereta ya umeme(34mw) msaada wa wafadhili. On what grounds? Too expensive to run! Any back-up plans in the event undersea power cable fails? vibatari vipo. Okay.

Speaking of Zanzibar...they're now selling off the entire Stone Town without public consultation
 
306681_10151063016359743_1581996414_n.jpg


Nashangaa sana kuona mijadala ya Economic integration , Rwanda, Infrastructure na development projects imejaa ushabiki wa kisiasa bila kuangalia mambo kwa upembenuzi yakinifu.

Na kinachosikitisha ni jinsi gani Print media na bila kusahau GREAT THINKERS forum kama hii kujaa watu ambao ni washabiki kuliko watu ambao wanauliza maswali au kuwa critical.

Inawezekana vipi mchambuzi anayeaminiwa JF na ambaye haishi kuandika articles kwenye print media (MANYERERE JACKTON) ashindwe kutofautisha kati ya Newspaper na Magazine?

Mbaya zaidi ameshindwa kuweka counter arguments kwa hilo gazeti la THE EAST AFRICAN.

Kuna issues za UNGA ambazo zina dominate airwaves lakini hakuna INVESTIGATIVE JOURNALISM iliyofanyika zaidi ya kutaja majina ya watu bila ushahidi wowote ku back up hizo tuhuma (ikienda mahakamani hawa watu wataomba mistrial kwani tayari media ishawahukumu)

CRITICAL THINKERS wetu hawaulizi tuna reserve ngapi ya foreign exchange, deni la taifa ni kiasi gani na tuna reserve ngapi ya gold na ziko wapi na nchi zipi.

CRITICAL THINKERS wetu wako bize na siasa za maji taka kuangalia nani alikuwa na washabiki wengi kwenye mikutano ya hadhara ya siasa huko Pemba na kwingineko

CRITICAL THINKERS wetu hawaulizi tume zilizoundwa toka mwaka huu uanze ni ngapi na ripoti zao ziko wapi na nini zimefanya (jengo la NHC, mabomu ya arusha , gongo la mboto etc)

CRITICAL THINKERS wetu wako bize kutoa tuhuma kuwa Kagame kamtukana JK bila kuleta ushahidi wowote ambao ni credible...matokeo yake imekuwa kama kesi ya abunuwasi....

CRITICAL THINERS wetu hawaulizi kama its really worth kupoteza maisha ya Mtanzania kule Congo ambako jeshi letu lilipelekwa bila ridhaa ya bunge

CRITICAL THINKERS wetu wamelala tuuu na wako humu wanajadiliana kuhusu non issues wakati mikakati ishamalizwa ya kuiuza TANESCO kwa SYMBION POWER

CRITICAL THINKERS wetu hawataki kujadili mambo critically bali wako emotional ku defend the mediocrity at all levels za jamii yetu.

CRITICAL THINKERS wetu hawataki kujiuliza how hard is it ku fix traffic lights za barabara za mji kama Dar na traffic officers wakawa na kazi ya kufanya enforcement.

CRITICAL THINKERS wetu wameshindwa kujua kama CCM na CHADEMA/CUF etc ni same thing, akili zao ni sawa na wote hawana interest na Tanzania.

CRITICAL THINKERS wetu hawawezi kutofautosha NATIONAL INTEREST na PERSONAL PARTY POLITICAL INTERESTS

610x.jpg
Wewe pekee
 
Wewe kiukweli ni Mtanzania ahasante sana, keep that spirit Bro/Sis
 
Zanzibar baada ya 'critical thinking' wameamua kuuza majenereta ya umeme(34mw) msaada wa wafadhili. On what grounds? Too expensive to run! Any back-up plans in the event undersea power cable fails? vibatari vipo. Okay.

Umenifanya nicheke loudly! Ati wameuza hizo generator, with no back-up plan KWA KUWA wana vibatari in case undersea cable fails? Hiyo ni BONGE la ANALYSIS mkuu! Sikuiona hiyo! Very critical indeed! Duuuu!

Sasa kama vibatari navyo vikishindikana kwa kuwa hakuna mafuta ya kutosha sokoni, itakuwaje? Watarudi enzi zile za washa mshumaa, ambao nao HAUTAPATIKANA kwa wingi kwa kuwa unatokana na nta (labda?) itokanayo na petroleum products ambazo sasa ni adimu?

What about sea wave technology, kwa kuwa Zanzibar ni kisima na mawimbi makubwa baharini yako LUKUKI?

Au wanahitaji msaada niwaunganishe na wenye hiyo teknolojia?
 
Speaking of Zanzibar...they're now selling off the entire Stone Town without public consultation

nadhani doers wapo

tatizo ni quagmire lililo ndirima kupata kufanya hizo decisions

Tungekuwa na doers tayari ungeona mtu kafanya kitu cha kutuamsha kutoka this slumber.

Hata kama ni an ill conceived military coup.

Hata hao thinkers nao kuna utata.

Original post inasema critical thinkers hawafanyi hiki na kile, leaving one wondering, if they are critical thinkers, what qualifies them as critical thinkers?

It is quite possible that the criticism against critical thinkers is not critical itself.
 
Back
Top Bottom