PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 13,849
- 23,415
Ameoa mkewe kamkataza kuimba
Huyo ndio good wife, kaona bora bro atafute kazi ya maana kuliko kukaa hapo mkubwa mzima kuimba kinyulinyuli.
Ameoa mkewe kamkataza kuimba
Hapana siyo...Ameoa mkewe kamkataza kuimba
Kawa nini? Aiseee basi usimalizie kusema!!!!Hapana siyo...
Anashinda Samaki Samaki Spot, Kihonda nasikia kawa ..........
Kawa anapumuliwa pumuuuKawa nini? Aiseee basi usimalizie kusema!!!!
yupo simba pale anadakaYule msanii aliekuwa anaitwa Samir amepotelea wapi? alie hit na kinyulinyuli pamoja na nitamchezea aliemshirikisha ney wa mitego?