Ndo maana tunapinga kwa nguvu zote mawazir kuwa wabunge, hebu angalia sasa huyu jamaa yupo busay na kampen na akitoka hapo anaenda tena chalinze, je atafanya shughul za kiserikali lin?
Yaani mpaka aibu.Huyo ni waziri wa serikali anayepaswa kuhudumia watu wote kwa haki.
Ni waziri wa serikali anayelipwa mshahara kwa kodi za watu wote.Lakini bila aibu anatembea na mabulungutu ya wizi huko Kalenga kuhonga watu ili wasichague mgombea wa upinzani.