Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 9,395
- 8,855
Kuwa na fedha na kuzipeleka kalenga!!?Enyi bavicha msikuwa na akili kwani naibu waziri wa FEDHA kuwa na FEDHA ni dhambi?
Kuwa na fedha na kuzipeleka kalenga!!?Enyi bavicha msikuwa na akili kwani naibu waziri wa FEDHA kuwa na FEDHA ni dhambi?
Mkuu inaonekana leo unaalosto ya biaSiyo dhambi Mkuu na hizo ni za supu na nyama choma tu za bia anazo Nape
Ifike wakati habari kama hizi zianze kuendana na japo a pinch of evidence..., tukiendelea hivi matokeo yake tutaacha kuamini na ya kweli tukidhani yote ndio yale yale ya kila siku
Kuwa na fedha na kuzipeleka kalenga!!?
Mkuu inaonekana leo unaalosto ya bia
ninatabiri - ccm itashindwa vibaya sana KALENGA .
Wewe ni muongo sana,hii fani ya babu umeipatia wapi?Kama wewe huamini basi ni mpumbafuu kabisa , unasubiri ushahidi wakati Mzee Mangula ametuambia wapiga kura tukaonane na mabalozi wa shina majumbani kwao eti watuelekeze utaratibu wa kupiga kura wewe unadhani tunaenda huko kung'aa sharubu. kitu pesa hiko leteni huo mpunga tuule then tutawaonesha kazi
Nyie ma CCM leteni hizo bia za bure, nyie mmeshindwa kuuza Sera mnategemea nini mapumbavu nyieee mtaisoma namba ombeni 2015 ichelewe mpate nafuu majingamajina nyie
Kama wewe huamini basi ni mpumbafuu kabisa , unasubiri ushahidi wakati Mzee Mangula ametuambia wapiga kura tukaonane na mabalozi wa shina majumbani kwao eti watuelekeze utaratibu wa kupiga kura wewe unadhani tunaenda huko kung'aa sharubu. kitu pesa hiko leteni huo mpunga tuule then tutawaonesha kazi
Wewe ni muongo sana,hii fani ya babu umeipatia wapi?
Nyie ma CCM leteni hizo bia za bure, nyie mmeshindwa kuuza Sera mnategemea nini mapumbavu nyieee mtaisoma namba ombeni 2015 ichelewe mpate nafuu majingamajinga nyie
Nyie ma CCM leteni hizo bia za bure, nyie mmeshindwa kuuza Sera mnategemea nini mapumbavu nyieee mtaisoma namba ombeni 2015 ichelewe mpate nafuu majingamajinga nyie
Huyu mtu roho yake ya ajabu sana kamanda.... Huwa nasemaga roho yake hata shetani akipewa hataichukua kwa jinsi ilivyojaa dhambi.... Hajamaliza hata kuanua matanga tayari yupo kalenga kugawa pesa....
Nenda Chalinze ukachezee za mbavuMkuu umempa za uso sidhani kama atarudi tena!
Ina maana wewe huwa husikii CHADEMA huwa wanasema kuwa "tumeanza na Mungu, tunaendelea na Mungu na tutamaliza na M ungu"?Kwani kampeni za Chadema Kalenga wanatumia maombi kuziendesha au chopa zimeenda kwa jina la mungu?
Kwa hiyo umeshakubali ya kesho kutwa sasa unaota ya 20I5?
Mjomba wewe ndo umekabidhiwa huu uzi ujibu mapigo nini!?