Recipient
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 425
- 345
Wakuu,
Ukweli ni kwamba hali ya siasa ya nchi yetu ni ya kusikitisha kama si kustaajabisha kwa chama cha siasa ambacho kimekosa hoja zinazoweza kuwashawishi wapiga kura wakakiamini. Imefikia mahali hawana kete nyingine ya kuicheza ili kupata ushindi kwenye sanduku la kura zaidi ya kuwaza kuhonga wapiga kura.
Hivi tunavyozungumza ni kwamba yule mkuu wa Green Guards Tanzania na China mchana huu ame draw fedha taslim na halali za kitanzania Mil 90 na kwenda nazo na gari lake Kalenga. Tunajiuliza Kalenga kuna uchaguzi, na imebaki masaa takriban chini ya 40 kwenda kupiga kura sasa hizo hela ni za kwenda kufanyia nini? Akili kichwani.
Hii hapa chini ni taarifa za kiintelijensia kutoka kwa Mtanganyika mwenzetu aliyeko kwenye viwanja vya ukombozi Kalenga;
Barabara ya Dodoma au Uhuru Avenue, Benki ya NMB Tawi la Iringa
Yule mpangaji mipango mmuaji na gaidi wa CCM, majira ya saa 6 mchana leo, ame-draw milioni 90... Je mnataka kujua ni za kazi gani? Wakati mnajua kuna uchaguzi Kalenga na wamezidiwa!
Ukweli ni kwamba hali ya siasa ya nchi yetu ni ya kusikitisha kama si kustaajabisha kwa chama cha siasa ambacho kimekosa hoja zinazoweza kuwashawishi wapiga kura wakakiamini. Imefikia mahali hawana kete nyingine ya kuicheza ili kupata ushindi kwenye sanduku la kura zaidi ya kuwaza kuhonga wapiga kura.
Hivi tunavyozungumza ni kwamba yule mkuu wa Green Guards Tanzania na China mchana huu ame draw fedha taslim na halali za kitanzania Mil 90 na kwenda nazo na gari lake Kalenga. Tunajiuliza Kalenga kuna uchaguzi, na imebaki masaa takriban chini ya 40 kwenda kupiga kura sasa hizo hela ni za kwenda kufanyia nini? Akili kichwani.
Hii hapa chini ni taarifa za kiintelijensia kutoka kwa Mtanganyika mwenzetu aliyeko kwenye viwanja vya ukombozi Kalenga;
Barabara ya Dodoma au Uhuru Avenue, Benki ya NMB Tawi la Iringa
Yule mpangaji mipango mmuaji na gaidi wa CCM, majira ya saa 6 mchana leo, ame-draw milioni 90... Je mnataka kujua ni za kazi gani? Wakati mnajua kuna uchaguzi Kalenga na wamezidiwa!