Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,773
- 5,930
Nimeangalia sasa hivi anahutubia huko Dodoma kuwa Watanzania wana imani na mahakama.
Huu ni uongo. Maana mahakama yenyewe imejaa rushwa na maonevu. watu wengi wapo mahakamani hawana makosa.
Lissu hana makosa lakini hakuna Jaji aliyethubutu kumuachia pamoja na kuwa mpaka sasa jamhuri haina ushahidi zaidi ya uhuni tu.
Huu ni uongo. Maana mahakama yenyewe imejaa rushwa na maonevu. watu wengi wapo mahakamani hawana makosa.
Lissu hana makosa lakini hakuna Jaji aliyethubutu kumuachia pamoja na kuwa mpaka sasa jamhuri haina ushahidi zaidi ya uhuni tu.