Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Binafsi Raisi Magufuli ananishangaza sana mpaka nafikia hatua ya kuhoji Uafrika wake!
Maishani mwangu sijawahi kukutana na Mwafrika asiyepapatikia kwenda Ulaya, (nchi za Wazungu), na hii huwa ni ndoto yetu watoto wa Kiafrika wkt tukuapo kwenda Ulaya!
Sasa hapa kuna Mwafrika aliyezaliwa na kukulia Afrika ingawaje ana uwezo wa kwenda Ulaya muda wowote kama akiamua na kufikia Hoteli yoyote ya gharama yoyote ile na kwenda shopping ya kufa mtu, pmj na haya yote bado hafagilii kwenda Ulaya?
Hili limenistaajabisha sana, Mwafrika asipende kwenda Ulaya pmj na kuwa na huo uwezo?
Yaani Mwafrika akatae kwenda kutibiwa Ulaya kwenye Hospitali ya Mzungu?
Mwafrika mwenye uwezo amuamini Mwafrika kumtibu?
Mwafrika mwenye uwezo asile chakula cha Kizungu badala yake Mke wake ndiyo ampikie?
Hapana Mimi nafikiri Raisi Magufuli siyo Mwafrika labda tumefichwa tu!
Maishani mwangu sijawahi kukutana na Mwafrika asiyepapatikia kwenda Ulaya, (nchi za Wazungu), na hii huwa ni ndoto yetu watoto wa Kiafrika wkt tukuapo kwenda Ulaya!
Sasa hapa kuna Mwafrika aliyezaliwa na kukulia Afrika ingawaje ana uwezo wa kwenda Ulaya muda wowote kama akiamua na kufikia Hoteli yoyote ya gharama yoyote ile na kwenda shopping ya kufa mtu, pmj na haya yote bado hafagilii kwenda Ulaya?
Hili limenistaajabisha sana, Mwafrika asipende kwenda Ulaya pmj na kuwa na huo uwezo?
Yaani Mwafrika akatae kwenda kutibiwa Ulaya kwenye Hospitali ya Mzungu?
Mwafrika mwenye uwezo amuamini Mwafrika kumtibu?
Mwafrika mwenye uwezo asile chakula cha Kizungu badala yake Mke wake ndiyo ampikie?
Hapana Mimi nafikiri Raisi Magufuli siyo Mwafrika labda tumefichwa tu!