Hivi Rais Akibeba Mimba Itakuwaje?

Hivi Rais Akibeba Mimba Itakuwaje?

Je maamuzi yake yatatekelezwa hata kama ni matokeo ya mimba? Je ataacha madaraka kamili kwa makamu wake?
Kwa Tanzania ni ngumu kutokea maana mgombea mpaka akidhi vigezo lazima umri uwe umesonga angalau 50+ sio chini ya hapo.

Na wanawake wengi wakishafika huo umri wanakuwa wameshafika kwenye menopause tayari hivyo uwezo wa kushika mimba haupo.
 
399877C1-DAD2-4043-9D14-75C498F257E5.jpeg
 
Ndiyo maana sheria inasema 40+ ,na kwa waliojipata wanawahi sana kuzaa na kufunga kizazi...kwa mwanamke wa 40 tena mwenye neema ya MPUNGA at the age of 40+ kashakuwa na watoto wake hata wanne na kashafunga hesabu na mamijiti/mavitanzi.
 
Back
Top Bottom