Hivi Pharrell Williams hazeeki...!?

Hivi Pharrell Williams hazeeki...!?

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,130
uploadfromtaptalk1472495667397.jpg


Akiwa at 88th Oscar awards on Feb 28th 2016
uploadfromtaptalk1472495715398.jpg
 
Kama umewahi kusikia watu wanaitwa baby face basi ndio huyo jamaa...
 
Jamaa ni ageless alinyimwa kabisa uzee.

Ila kuna muda hata yeye mwenyewe huwa haipendi hiyo halii na hasa pale anapokutana na watu wasiomjua wana mtreat kama mtoto hivi.

na kweli kwa muonekano tu anaonekana ni kama U-20.

Na hata kwenye parody ya HAPPY wamemdiss eti "i am 41but i damn look like i'm 8"
 
Back
Top Bottom