Satisfy
JF-Expert Member
- Jun 25, 2022
- 237
- 347
mkuu hela popote ipo inategemea na kazi yako lkn dar ipo nyingi.kwa sababu
1,kampuni nyingi
2,watu ni wengi
3,biashara nyingi na n.k
na hivo inapelekea kuwa na mzunguko mkubwa wa fedha(high money circulation)japokuwa na matumizi pia ni makubwa.ko ww fanya mitego tu popote hela unainasa.
1,kampuni nyingi
2,watu ni wengi
3,biashara nyingi na n.k
na hivo inapelekea kuwa na mzunguko mkubwa wa fedha(high money circulation)japokuwa na matumizi pia ni makubwa.ko ww fanya mitego tu popote hela unainasa.