Hilo ni Daraja la kuvukia linaloelea.Panton na meli ni vitu viwili tofautiKwa wanaojua ningependa kufafanuliwa kuhusu hii Mada maana tumebishana Sana na Wana mbeya wenzangu ambao hata pantoni hatujawahi kupanda🤣🤣 kwa upande wangu niliwajibu kuwa pantoni ni Meli basi kila mtu akawa anasema lake..... Ufafanuzi kwa wanaofahamu pantoni ni nini jamani nipate kuwaeleimisha Hawa wananzengo wenzangu.
Ferry and shipPantoni ni fail
Meli ni sheep
Uzi ulitakiwa kuishia hapaKivuko
Je kuna tofauti kati ya Aeroplane na Aircraft?Hivi Helcopter ni Ndege au Si Ndege!?
Pikipiki iliyochangamkaHivi bajaj ni pikipiki au ni gari
Weka kwa KiswahiliJe kuna tofauti kati ya Aeroplane na Aircraft?
eti unakuta unaambiwa meli imebeba watu 500,meli!!!!Hata hizi tunazoziita meli kuanzia ziwa victoria hadi kule bahari ya hindi nyingi ni FERRYBOAT.
Tanzania Cruise ship, merchant ship na warship ni chache mno hata vidole vya mkono wa kushoto ni vingi.
Ile tuliokuwa tunaita meli ya spice na skygic nilipoangalia CNN na al jazeera waliripoti ni TRAGEDY OF FERRYBOAT IN TANZANIA.
Kwa kiswahili hakuna hayo maneno kwani waswahili hawajawahi vumbua hata material za hirizi zao sembuse hayo makitu.Weka kwa Kiswahili
Weka kwa Kiswahili
Na sheep ni kondoo.Pantoni ni fail
Meli ni sheep
😃😄pikipiki iliyochanganyikiwaPikipiki iliyochangamka
Ukisikia kitu inaitwa MELI either ni cruiseship, au ni warship au ni merchatship humo ndani unasafiri toka sehemu moja kwenda nyingine kwa LIFT, escalator au bodaboda au baiskeli.eti unakuta unaambiwa meli imebeba watu 500,meli!!!!
mazafantaz.
moja likaja kushusha gari za dangote karibia gari 300,nikatamani niite watu waje waone meli sasa.