Huu uwanja ni mzuri sana lakini kila nikiuangalia kwa nje ninaona haukukamilika na huenda pesa nyingi sana zilipigwa na wahuni.
Kama ndivyo ulitakiwa kuwa basi waliochora ramani ni wanafunzi wa vyuo vya hapa kwetu, maana naona kama tatizo litakuwa kichwani kama ilivyo kwa wananchi wengi ambao hawajawahi kuona dosari yoyote.
Kama ndivyo ulitakiwa kuwa basi waliochora ramani ni wanafunzi wa vyuo vya hapa kwetu, maana naona kama tatizo litakuwa kichwani kama ilivyo kwa wananchi wengi ambao hawajawahi kuona dosari yoyote.