Hivi pale kwa Mkapa ramani ndiyo ilikuwa hivyo ama tulipigwa?

Cashman

JF-Expert Member
Jun 8, 2018
2,298
3,972
Huu uwanja ni mzuri sana lakini kila nikiuangalia kwa nje ninaona haukukamilika na huenda pesa nyingi sana zilipigwa na wahuni.

Kama ndivyo ulitakiwa kuwa basi waliochora ramani ni wanafunzi wa vyuo vya hapa kwetu, maana naona kama tatizo litakuwa kichwani kama ilivyo kwa wananchi wengi ambao hawajawahi kuona dosari yoyote.
 
Huu uwanja ni mzuri sana lakini kila nikiuangalia kwa nje ninaona haukukamilika na huenda pesa nyingi sana zilipigwa na wahuni.

Kama ndivyo ulitakiwa kuwa basi waliochora ramani ni wanafunzi wa vyuo vya hapa kwetu, maana naona kama tatizo litakuwa kichwani kama ilivyo kwa wananchi wengi ambao hawajawahi kuona dosari yoyote.
Hela walitoa wachina na walijenga wao! Na uwanja umeanza harakati 2004,miaka 20 iliyopita,ni model ya zamani
 
Inasemekana hata miundombinu ya camera haijawekwa vizuri kwa ajili ya kurecords matches.
 
Back
Top Bottom