Nae kama kashindwa kuja kukutembelea basi muonane neutral venue na iwe open kabisa ndo myajengeWeweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona.
Sijawahi hata kukuona kwa machooo.
Hii nikali sana .
Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,...
Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana??
Watu wengine sio maboya eti jua hilooo.
Jua hilooo.
Wengine akili zinasoma sio mabox
Na mara nyingi mdada ukisafirishwa kutoka mkoani ukashukia ubungo unaweza kujikuta unaishi hapo ubungo stand hata wiki 2 maana mwenyeji wako kabla hajakupokea kwanza anakupigia simu anakutazama kwa mbali, usipokidhi matarajio yake kimuonekano(hasa ukiwa flat screen) anazima simu anakupotezea na huna nauli kutoka ubungo kurudi Burigi.
Hahaha good questionKwani na wasichana huwa wanatuma nauli siku hizi???
Hahaa dahhAkuchune nani hiyo ngozi iliyokolezwa kwa mikemikali yakutosha..??
Akuue nani wakati we mwenyewe unajiua kwa kula mikemikali..?
Akuuze nani wakati bidhaa ilisha kwisha muda..??
Ahangaike nani kuuza viungo vyako wakati hata thamani umeshavidodesha kama kuku wakisasa..??
Hebu nenda kwa jamaa ukamsikilize acha uboya..[emoji23][emoji23]
Halafu nisamehe bure dada wa watu sitaki mabango nawe mi napita tu[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
NakaziaAttention seeking disorder tu
Kama unampenda mtu privacy muhimu pia
HahaaCOVID 19 affected the Brain
Hahaa aiseeNa mara nyingi mdada ukisafirishwa kutoka mkoani ukashukia ubungo unaweza kujikuta unaishi hapo ubungo stand hata wiki 2 maana mwenyeji wako kabla hajakupokea kwanza anakupigia simu anakutazama kwa mbali, usipokidhi matarajio yake kimuonekano(hasa ukiwa flat screen) anazima simu anakupotezea na huna nauli kutoka ubungo kurudi Burigi.
HahaaHalafu akifikisha miaka 30 hajaolewa, utaskia anatafuta mganga apige ramli kidgo
Mbona umemaliza kikwenu sio powaNaandika nafuta,naandika nafuta.....acha tu niandike,"kwa hiyo kwa akil yako wanawake hawapaswi kuwafuata wanaume kwa mara ya kwanza?risk taker ndo hufanikiwa plus i'm nt sure kama huo ndo mtongozo wa kwanza.....obhebhe jaga goke agagopoje ombehi!!
Tusimulie basi ulivyoenda ilikuwajeWeweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona.
Sijawahi hata kukuona kwa machooo.
Hii nikali sana .
Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,...
Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana??
Watu wengine sio maboya eti jua hilooo.
Jua hilooo.
Wengine akili zinasoma sio mabox
Mjibu vizuri mtu ukimtukana wala hatokuelewa mtapigana usipokuwa na akili wakati wa ushauri basi hata wewe unashida kuliko yeye.Ww mtoa mada huna akili, unasema huyo MTU hujawahi kumwona kwa macho, sasa utamwonaje kwa macho wakati hutaki kukutana nae?
Hayo maringo yako ndo yamefanya u-chat na wanaume wa mtandaoni ili uondoe upweke, kwasababu wanaume wa mtaani washakuchoka na maringo yako yasio na tija MysweetL
Ni ndugu tu sio mimi ,na hajaenda anaogopa kwenda wamekutana facebook sasa uso kwa uso hawajaonanaTusimulie basi ulivyoenda ilikuwaje
Why best ,.Inawezekana mwamba ana majukumu mengi ya Kaz ndio Mana kakwambia uende kwake ila staha muhimu
Hv ulivyo andika thread yako inaonekana ndivyo ulivyo ya ndani unayaweka nje na umri wako inaonekana Ni below 24
Inaelekea unajua sana humu umeolewa hivi tuanzie hapo .ππππ eti anafeli!!
Huyo dada uliyemtaja unataka ugomvi nae?lakini mie popote utakaponiambia nije nakuja....sitaanzisha uzi na nauli juu yangu
Kuwa na hofu ya Mungu ishi Kama mwanamke wa Africa unaejua tamaduni na miiko ya mwanamke wa kiafrica kwa mwanaume ipiWhy best ,.
KweliiKuwa na hofu ya Mungu ishi Kama mwanamke wa Africa unaejua tamaduni na miiko ya mwanamke wa kiafrica kwa mwanaume ipi
Wanaume hatuangalii mwanamke ana uzuri gani,Elimu au pesa kias gani Bali tunachoangalia
1 ana hofu na Mungu
2 ana heshimu wazaz wake na ndugu zake
3 ana utunza ulimi wake katika mazingira yeyote Yale
Kwahyo hicho ulicho andika kina sadifu Yale yalio Moyoni mwako Muombe Sana Mungu inawezekana bahat yako ikawa hyo kwa mchiz alafu ukawa unaichezea Kuna siku utaikumbuka nafas ambayo mchz kakupa
Unitag na mimi akijibuAkikujibu uni Tag