HahahahahahaHii avatar naipendaga sanaaa tukirudi kwenye topic ya shangazi Joannah umesahau na wale wa kuuuliza vipi umekula au unafanya kazi gani hivi unataka kugundua niniii jamani
Hiyo avatar kali sana imepishana na mishale mingi humu 😂😂😂😂Hii avatar naipendaga sanaaa tukirudi kwenye topic ya shangazi Joannah umesahau na wale wa kuuuliza vipi umekula au unafanya kazi gani hivi unataka kugundua niniii jamani
Mkuu mbona namba hazipatikani..?? 😜Nitext humu 0698040052. Huko PM umefanya kuwe mbali sasa.
hujaona dhambi ingine kuliko uongo ?Mkuu mbona namba hazipatikani..??
Mie mambo ya PM na DM siyajui, namba ndio hio hio tukutane saiti.Mkuu mbona namba hazipatikani..??
Baada ya salamu anakutumia tena sms "niambie"Kimsingi, kwa kawaida, mtu akikwambia niambie utakasirika iwapo ulikuwa na matarajio tofauti na hilo neno.
Ni bahati mbaya sana wakati huu maisha ni magumu, na hivyo wadada wanatarajia kufanyiwa miamala; sasa akikutana na neno "niambie" anahisi huyu jamaa hana cha kumpa zaidi ya kumpotezea muda.
Imagine, iwapo mwanaume katuma hela, halafu akatuma sms niambie; hapa ni lazima kwanza mdada atabasamu na kujibu kwa bashasha nnsafiii uko poa best.
Mimi ninadhani niambie inakera pale ambapo mdada ana makasiriko na dawa yake ni muamala tu.
🤣🤣Kwamba hakuzingatia maokotoKumekucha kumekucha
Haya wanaume mnaitwa na dada mkubwa huku 😂😂😂
Ila sema dada akikutumia muamala mbona utamuanza mwenyewe kumwambia “Niambie” 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Wifi kukiwa na msg ya muamala lazima uanze kujichekesha ww 😂😂😂😂🤣🤣Kwamba hakuzingatia maokoto
Dah! KudadadekiWa mkoani tunasemaga straight,pita geto jioni Nimemiss hio kumer.
hahaaahaaaaaaa........sasa hapo cha kulalamika nini kama majibu ni yale yale,kwani anayekutumia mambo jibu la pili kwa uhakika zaidi ni poa,akikuambia niambie mjibu niambieeeeKwema?
Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji, huwa mnawaza nini?
Mtu anakuandikia mambo? Unamjibu poa tu.
Anauliza tena, Kwema? Unamjibu kwema?
Anauliza tena, uko poa lakini? Unajibu poa?
Sasa anamalizia tena, "NIAMBIE" 😣
Jamani, hebu muwe serious basi. Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie nini sasa? Eti huwa mnataka tuwaambie nini? Binafsi sana, sana ukiniambia nikwambie, nitakuomba hela... Halafu utaanza kulalamika na kulilia, maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia, wakati wewe mwenyewe umesema nikwambie, au ni kutafutana lawama tu?
Kwa kweli, mtu akishaniambia hiyo "NIAMBIE," huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi, viumbe vya mola, jamani.
Kuna wanaume wanoweka "et" mwishon wanakera.Kwema?
Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji, huwa mnawaza nini?
Mtu anakuandikia mambo? Unamjibu poa tu.
Anauliza tena, Kwema? Unamjibu kwema?
Anauliza tena, uko poa lakini? Unajibu poa?
Sasa anamalizia tena, "NIAMBIE"
Jamani, hebu muwe serious basi. Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie nini sasa? Eti huwa mnataka tuwaambie nini? Binafsi sana, sana ukiniambia nikwambie, nitakuomba hela... Halafu utaanza kulalamika na kulilia, maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia, wakati wewe mwenyewe umesema nikwambie, au ni kutafutana lawama tu?
Kwa kweli, mtu akishaniambia hiyo "NIAMBIE," huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi, viumbe vya mola, jamani.
Jibu langu ni simple najibuKwa mtu usiyempenda utaona anakera,..mbona kuna mademu wengi tu wanapigo hizo!