Hivi nyama ya chui inaliwa?

Hivi nyama ya chui inaliwa?

Zero Hours

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2011
Posts
12,942
Reaction score
18,691
Huku kwetu leo tumemkamata huyu chui mla kuku wetu. Wananzengwe kwa machungu wameamua kumla. Je ni salama kula huyu mnyama?
3157b8675f550f9f4b708a300d135d81.jpg
d8c76ea469156329cd75993a47b35618.jpg
2274f290714f5b4fc6ca3b72805b75b6.jpg
 
Ni mtamu sana halafu mtakuwa wastaarabu kama chui na mtakuwa wasafi na msiokuwa na papara mtafanya mambo yenu kwa kutumia akili na utashi wa hali ya juu kama chui
 
Nyama hizo tamu sana ila huyu interest yake ilikuwa matusi
b5b8cd837b33da4c8efd2b4cdbe2f423.jpg
 
Back
Top Bottom