Hivi nini source ya senene??

Hivi nini source ya senene??

Joined
Mar 15, 2011
Posts
27
Reaction score
4
WanaJF naomba nijulishe wadudu aina ya senene hutokea wapi?Maana hapa kwetu Bukoba hutokea kwa musimu nyakati nyingine hawaonekani.Huko wanakokuwa karibu miezi 6 ni wapi wanakula nini wanazaana vipi.Sina shaka nitapata majibu mwafaka.
 
duh, huwa nawala sana ila sijawhi kufuatilia huwa wanatoka wapi! anayejua atujuze basi wakuu....!
 
Nimekuwa nikijiuliza mara nyingi sana bila kupata majibu yaliyojitosheleza senene wanatoka wapi? Na kwa nini wanakuja kwa ukubwa uliofanana na tumbo zao zikiwa tupu hazina chakula? Asanteni
 
senene.jpg

Senene watamu!
 
Ngoja waje wale ndugu zangu,utapata maelezo yakutosha!
 
Wapo wengi tu huku kibanebane kigomboni unahitaji kilo ngapi? Mkuu
 
Kumbikumbi unaweza jua wanatokana na mchwa ardhini sasa tabu kujua senene, mara zote huja usiku tu










Sent from my BlackBerry 9000 using JamiiForums
 
kwa wakwe zangu bukoba wako wengi sanaaa ila me huwa sili kabisa wale wadudu.makabila mengine haya basi tu tumeolewa but wanakula vitu vya ajabu mara sijui kahawa za kutafuna jaman!!!
 
msubirini kyanakyomuhaya atakuja wapa majibu,lakin nilisikia wanatoka nchi za kiarabu,lakin nilisikia wanatokea ziwani,kila mtu anasema la kwake
 
Jama senene kwa baadhi ya mikoa hutokea mara moja kwa mwaka ila wanakotoka had leo sijajua msaada plz?
 
WanaJF naomba nijulishe wadudu aina ya senene hutokea wapi?Maana hapa kwetu Bukoba hutokea kwa musimu nyakati nyingine hawaonekani.Huko wanakokuwa karibu miezi 6 ni wapi wanakula nini wanazaana vipi.Sina shaka nitapata majibu mwafaka.
Inasemekana Hawa ni migratory insects ambao wanahama kufuatana na majira. Details za mzunguko wa migration need be researched
 
Back
Top Bottom