Hivi nini kitatokea?

Hivi nini kitatokea?

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Hivi nini kitatokea kama.............,malizia upendavyo.yangu mimi ni;hivi ni nini kitatokea kama mungu akiamua kuziondoa ghafla kuta nne za guest houses pamoja na mapaa yake mchana kweupe peee katikati ya jiji?
 
Nini kitatokea kama siku ukilog in JF unakuta majina halisi ya members wote na avata zao ndani ya mabano... Bila kusahau picha zao kwa pembeni!?
 
Nini kitatokea kama siku ukilog in JF unakuta majina halisi ya members wote na avata zao ndani ya mabano... Bila kusahau picha zao kwa pembeni!?
wengine hawataendana kabisa na usernames na avatar zao.
 
Kama JK akijiuzulu kwa kusema ameshindwa kuongoza kutokana na uwezo wake mdogo na kuwaachia wengine? watu watashagilia? watashukuru? watashangaa? watamlaumu? watampongeza? watacheka?
 
hahaha...hii nimeipenda zaidi.
Nini kitatokea kama siku ukilog in JF unakuta majina halisi ya members wote na avata zao ndani ya mabano... Bila kusahau picha zao kwa pembeni!?
 
Hivi nini kitatokea kama.............,malizia upendavyo.yangu mimi ni;hivi ni nini kitatokea kama mungu akiamua kuziondoa ghafla kuta nne za guest houses pamoja na mapaa yake mchana kweupe peee katikati ya jiji?

Wengi wa wafanyakazi watakutwa wakila 'LUNCH'.maana mida hiyo hufahamika kama 'lunch time'
 
Ikiwa umewaangalia inzi, wakiisha kujamiiana huruka wakiwa bado wamepandiana, unafikiria nini kitatokea kama ingetokezea hivyo hivyo kwa binadamu?
 
Nini kitatokea kama siku ukilog in JF unakuta majina halisi ya members wote na avata zao ndani ya mabano... Bila kusahau picha zao kwa pembeni!?


Hii mkuu si mchezo, imekaa vizuri... though inaweza zua matatizo!!!!!
 
Wengi wa wafanyakazi watakutwa wakila 'LUNCH'.maana mida hiyo hufahamika kama 'lunch time'

usichekeshe walionuna!!

hivi kuna wafanyakazi wanaokula lunch gest???????
 
Ikiwa umewaangalia inzi, wakiisha kujamiiana huruka wakiwa bado wamepandiana, unafikiria nini kitatokea kama ingetokezea hivyo hivyo kwa binadamu?
Au kama mating dogs,lazima mtenganishwe after enjoying the red apple.
 
Ingekuwaje dunia bila uislamu..........????
 
Back
Top Bottom