Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
Hebu fikiria, tangu asubuhi hadi jioni hamna post wala comment yoyote jukwaani.
Nakumbuka miaka ile ya kale, JamiiForums ikafungua chat room, watu wakaacha kabisa kuchangia majukwaani.
Vipi ile hali ikitokea tena leo?
Je uongozi utafanyeje kuwafanya qatu warudi kwenye utamaduni wa kuchangia majukwaani?
Nakumbuka kile kipindi cha kuchat kwenye chat room, uongozi uliondoa kabisa chat kwenye website.
Nakumbuka miaka ile ya kale, JamiiForums ikafungua chat room, watu wakaacha kabisa kuchangia majukwaani.
Vipi ile hali ikitokea tena leo?
Je uongozi utafanyeje kuwafanya qatu warudi kwenye utamaduni wa kuchangia majukwaani?
Nakumbuka kile kipindi cha kuchat kwenye chat room, uongozi uliondoa kabisa chat kwenye website.