Kuna minog'ono inatolewa na WanaCCM wanaoionea wizvu CHADEMA ya Lissu na Heche kuwa inakwenda kufa kisa tu wana misimamo thabiti.
Kwa sababu hawataki kuwa kama Mbowe na kuwa wananunulika na CCM kuwasaliti Watanganyika.
Wala hata usiumizwe Kichwa na mbumbumbu wa CCM.Kuna minog'ono inatolewa na WanaCCM wanaoionea wizvu CHADEMA ya Lissu na Heche kuwa inakwenda kufa kisa tu wana misimamo thabiti.
Kwa sababu hawataki kuwa kama Mbowe na kuwa wananunulika na CCM kuwasaliti Watanganyika.
Wasichoelewa hao mbumbumbu wa CCM ni kuwa kama vile ambavyo CCM imekoma kuwa chama cha siasa na kuwa genge maslahi linalotawala kwa mabavu ya vyombo vya dola, Chadema nayo imevuka kutoka kuwa chama cha siasa na kuwa ni Imani ambayo hata wana CCM wenye kujitambua wanaamini na hivyo kusema kuwa Chadema itakufa ni kutoielewa Chadema.Kuna minog'ono inatolewa na WanaCCM wanaoionea wizvu CHADEMA ya Lissu na Heche kuwa inakwenda kufa kisa tu wana misimamo thabiti.
Kwa sababu hawataki kuwa kama Mbowe na kuwa wananunulika na CCM kuwasaliti Watanganyika.
Wanaipenda sana sana CHADEMA kiasi cha kutoa tahadhari ili kuokoa isife!!!!! On serious note: hawa watu wamejaa upumbavu mpaka tumbuni kwao. Hivi ni kweli hawajui ni kwa nini CHADEMA inapendwa? Badala ya kufanyia kazi makosa yao wao wanataka kuangamiza CHADEMA. Ni kama darasani unaua wanafunzi wenye akili.... je wale vilaza ndiyo watakuwa na akili?Ndio kwanza inaimarika na kuzidi kuipoteza ccm na wahuni wake wote
hakika hii porojo ni nonsense ya siku aise,Kuna minog'ono inatolewa na WanaCCM wanaoionea wizvu CHADEMA ya Lissu na Heche kuwa inakwenda kufa kisa tu wana misimamo thabiti.
Kwa sababu hawataki kuwa kama Mbowe na kuwa wananunulika na CCM kuwasaliti Watanganyika.

Kwani hao CHAUMMA wasio na msimamo wapo wapi kama sio wanajifia pole pole licha ya kubebwa na MAFISIEMUKuna minog'ono inatolewa na WanaCCM wanaoionea wizvu CHADEMA ya Lissu na Heche kuwa inakwenda kufa kisa tu wana misimamo thabiti.
Kwa sababu hawataki kuwa kama Mbowe na kuwa wananunulika na CCM kuwasaliti Watanganyika.
Hauwezi kufa mara 2, kwa kuwa ilikiwisha kufa tayari tarehe 21/01/2025Kuna minog'ono inatolewa na WanaCCM wanaoionea wizvu CHADEMA ya Lissu na Heche kuwa inakwenda kufa kisa tu wana misimamo thabiti.
Kwa sababu hawataki kuwa kama Mbowe na kuwa wananunulika na CCM kuwasaliti Watanganyika.
CHAUMA wana viti 3 bungeni!! Unaota au unaumwa akili?Kwani hao CHAUMMA wasio na msimamo wapo wapi kama sio wanajifia pole pole licha ya kubebwa na MAFISIEMU
Kiranja wao wachukia ukweli na Akili keshaingia uwanjani😀😃😄hakika hii porojo ni nonsense ya siku aise,
eti nani huyo mwenye wivu na chama nonsense na useless kama chadema gentleman?![]()
infact waliosalia na kung'ang'ana pale chadema masalia ni wale tu walionja na pesa za mambwenyenye ya magharibi waliokua wanamfadhili kibaraka wao Lisu kupitia NG'O fulani hivi humu nchini![]()
ooh mtoa porojo na uzushi nonsense jf kumbe upo?Kiranja wao wachukia ukweli na Akili keshaingia uwanjani😀😃😄

Uchawa ni aibu Kwa jamii.ooh mtoa porojo na uzushi nonsense jf kumbe upo?![]()
Ni kweli chadema inaweza kufa lakini Mbegu ya kizalendo iliyopandwa itazidi kumea, ni swala la muda tuKuna minog'ono inatolewa na WanaCCM wanaoionea wizvu CHADEMA ya Lissu na Heche kuwa inakwenda kufa kisa tu wana misimamo thabiti.
Kwa sababu hawataki kuwa kama Mbowe na kuwa wananunulika na CCM kuwasaliti Watanganyika.