ni ngumu
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 4,292
- 7,159
Oooookey...! I got you.We ulikosea kibao ungempa alivyo kubinulia mdomo mkuu...
Kwani uongo jamanii.... Mwanamke hubadilishwa na mwanaumeOooookey...! I got you.
Kwa makofi na mateke?Kwani uongo jamanii.... Mwanamke hubadilishwa na mwanaume
We umeongezea mateke bwana... Unaanzaje kumbinulia mwanaume mdomo sasaaaKwa makofi na mateke?
Wach tuweke na mateke ili iwe fundisho at first and for last.We umeongezea mateke bwana... Unaanzaje kumbinulia mwanaume mdomo sasaaa
As you wish...Wach tuweke na mateke ili iwe fundisho at first and for last.
Naona umetupa simu? hahaa?As you wish...
Siwezi tupa bhanaa.... Mwanaume akikupiga anakupendaNaona umetupa simu? hahaa?
Kwani kwelikuna mwanamke mwingine?Hello JF!
Ebana wakuu, kuna manzi angu kaja toka juzi hapa gheto kwangu kunitembelea lakini nafikiria hata kumtimua kwa maudhi anayonifanyia.
Issue iko hivi, jana jioni mimi na yeye tulikua na misunderstanding ndogo kati yetu lakini yeye akajifanya ndo ana hasira sana na anaejua kununa, akagoma kupika msosi, nikaona isiwe case nikaenda restaurant kula nikamchukulia na yeye nikampelekea pale gheto.
Leo asubuhi nimeamka nikamwekea pesa mezani, nikamwambia mchana ntarudi na washkaji zangu kugonga menu, sasa huyu binti alivyo kisirani, nimerudi mchana nikakuta zile pesa ziko pale pale mezani, kumuuliza kwa nini hajapika msosi ananibinulia domo eti "mwambie yule malaya wako aje akupikie".
Anyway nikaona tena isiwe case nikajiondokea zangu kwenda misele, jioni hii ananitumia text eti nikirudi home nimpelekee chipsi kuku. Nimemtafakari nimeona huyu mwili unamuwasha na ana hamu ya kukung'utwa.
So wakuu, kwa hivi visa ninavofanyiwa na huyu binti nikimshushia kichapo ntakua nakosea?
Woyoooo!Siwezi tupa bhanaa.... Mwanaume akikupiga anakupenda
Hajui kupika uyo anatafuta sababu tu.Hello JF!
Ebana wakuu, kuna manzi angu kaja toka juzi hapa gheto kwangu kunitembelea lakini nafikiria hata kumtimua kwa maudhi anayonifanyia.
Issue iko hivi, jana jioni mimi na yeye tulikua na misunderstanding ndogo kati yetu lakini yeye akajifanya ndo ana hasira sana na anaejua kununa, akagoma kupika msosi, nikaona isiwe case nikaenda restaurant kula nikamchukulia na yeye nikampelekea pale gheto.
Leo asubuhi nimeamka nikamwekea pesa mezani, nikamwambia mchana ntarudi na washkaji zangu kugonga menu, sasa huyu binti alivyo kisirani, nimerudi mchana nikakuta zile pesa ziko pale pale mezani, kumuuliza kwa nini hajapika msosi ananibinulia domo eti "mwambie yule malaya wako aje akupikie".
Anyway nikaona tena isiwe case nikajiondokea zangu kwenda misele, jioni hii ananitumia text eti nikirudi home nimpelekee chipsi kuku. Nimemtafakari nimeona huyu mwili unamuwasha na ana hamu ya kukung'utwa.
So wakuu, kwa hivi visa ninavofanyiwa na huyu binti nikimshushia kichapo ntakua nakosea?