Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,995
Hivi Africa Mashariki hakuna mtu mwingine zaidi yake au CECAFA ni kampuni yake na ana hisa nyingi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu Zamoyoni Mogela anacheza mpira hili jamaa lilo Cecafa tu maendeleo hakunaKafanyaje tena...?
Tenga gani hagombei? Kwani rais wa cecafa ni nani?Kama Wagombea hawajitokezi afanye nini? Kina Tenga wanaogopa kina Karia Majungu na kuvinyonya Vilabu wacha atawale kama Mfalme
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpira ni sehemu ya kupigia hela zaidi ya siasa. Viongozi wanaingia kwa ahadi nyingi wakiwa watakatifu harafu wanageuka kuwa ma mafia wanatengeneza kundi lenye kunufaika kuja kuwatoa balaa. Mkipanga kuwatoa wana wachomoa nyie. Hapo mpiraHivi Africa Mashariki hakuna mtu mwingine zaidi yake au CECAFA ni kampuni yake na ana hisa nyingi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tenga cheo chake inaonekana ni ceremonial tu mwenye Cecafa yake ni Musonye na bonanza lake mechi moja unaingia robo fainaliTenga gani hagombei? Kwani rais wa cecafa ni nani?
Inagombewa hiyo nafasi au huteuliwa na kamati ya utendaji?Kama Wagombea hawajitokezi afanye nini? Kina Tenga wanaogopa kina Karia Majungu na kuvinyonya Vilabu wacha atawale kama Mfalme
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka vizuri aliifungia baada ya Yanga kuwakimbia SimbaMusonye alianza kama msemaji wa CECAFA baadae akawa Katibu Mkuu wa kudumu ,aliifungia Yanga Kagame Cup
😂😂😂😂 Ataendelea kuwepo mpaka upate wajukuu! tuombe uzima tuJamaa yupo tangu nasoma msingi mpaka leo nina familia