Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Hana aibu eti tunajivunia kuwa na Simba WhatsApp channel na tubaongoza Africa mashariki na Kati, pia wenzetu walikuwa wanaongoza Youtube ila sasa tumewapita.
Ukimcompare na Senzo na Babra huyu ni CEO wa hovyo waliompata Simba.
Kwa kipindi chake hamna la maana zaidi ya kiki kama za kipanda mlima Kilimanjaro na vibegi hawazi timu kufanya vizuri kwenye ligi na kimataifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimcompare na Senzo na Babra huyu ni CEO wa hovyo waliompata Simba.
Kwa kipindi chake hamna la maana zaidi ya kiki kama za kipanda mlima Kilimanjaro na vibegi hawazi timu kufanya vizuri kwenye ligi na kimataifa
Sent using Jamii Forums mobile app