Hivi ni waulize swali nyie wanawake

Hivi ni waulize swali nyie wanawake

oh kwa hiyo akifanya yeye dunia haimshangai kaka?? Potelea pote
Mwanaume ni jiwe na wewe ni nazi dada, wawili hawa washindanapo kumjua atakae athirika ni rahisi

Nguvu yako ipo kwenye busara zako wala sio kwenye kupimana ubavu kwamba yeye kafanya na wewe utake kufanya ili mshindane

Subira, hekima na busara inahitajika sana hapa dada. Ungejua nguvu yako kubwa ipo kwenye machozi yako wala usingetaka mashindano. Machozi ya mwanamke huyeyusha miamba. Moyo wa mwanaume waeza lainika kwa chozi lako tu

Kwa vigezo vyote bwana shemeji hapa amekosea ila namtafutia muda niongee nae kwa utuliivu kabisa
 
Mwanaume ni jiwe na wewe ni nazi dada, wawili hawa washindanapo kumjua atakae athirika ni rahisi

Nguvu yako ipo kwenye busara zako wala sio kwenye kupimana ubavu kwamba yeye kafanya na wewe utake kufanya ili mshindane

Subira, hekima na busara inahitajika sana hapa dada. Ungejua nguvu yako kubwa ipo kwenye machozi yako wala usingetaka mashindano. Machozi ya mwanamke huyeyusha miamba. Moyo wa mwanaume waeza lainika kwa chozi lako tu

Kwa vigezo vyote bwana shemeji hapa amekosea ila namtafutia muda niongee nae kwa utuliivu kabisa
kwa hiyo nilie kaka? Au nifanyeje? Shida ameshazoea, ameota mizizi s mara ya kwanza wala ya pili, nilimfuma huko anaomba watu awafate pm na kuwalazimisha shikamoo zisizo na maana, nimepotezea hayo na hili pia??
 
kwa hiyo nilie kaka? Au nifanyeje? Shida ameshazoea, ameota mizizi s mara ya kwanza wala ya pili, nilimfuma huko anaomba watu awafate pm na kuwalazimisha shikamoo zisizo na maana, nimepotezea hayo na hili pia??


Madame na Archduke here's a room for you two puliiiiiiiiiiiiiizzzzzzzz... come CHEMBA muyasovu as a family...yaishie huku madam usimwage mchele hapa
siri za ndani ziishie ndani mamito




cc Smart911
 
kwa hiyo nilie kaka? Au nifanyeje? Shida ameshazoea, ameota mizizi s mara ya kwanza wala ya pili, nilimfuma huko anaomba watu awafate pm na kuwalazimisha shikamoo zisizo na maana, nimepotezea hayo na hili pia??


Madame na Archduke here's a room for you two puliiiiiiiiiiiiiizzzzzzzz... come CHEMBA muyasovu as a family...yaishie huku madam usimwage mchele hapa
na mungu awatangulie







cc Smart911
 
Toa pumba zako hapa.. Ebu futeni huu Uzi Jimama langu lisijekuona likastuka..
 
Mwanaume ni jiwe na wewe ni nazi dada, wawili hawa washindanapo kumjua atakae athirika ni rahisi

Nguvu yako ipo kwenye busara zako wala sio kwenye kupimana ubavu kwamba yeye kafanya na wewe utake kufanya ili mshindane

Subira, hekima na busara inahitajika sana hapa dada. Ungejua nguvu yako kubwa ipo kwenye machozi yako wala usingetaka mashindano. Machozi ya mwanamke huyeyusha miamba. Moyo wa mwanaume waeza lainika kwa chozi lako tu

Kwa vigezo vyote bwana shemeji hapa amekosea ila namtafutia muda niongee nae kwa utuliivu kabisa
ni kwe shemeji nakubali kosa

japo dada yako ndio chanzo wa yote haya mpaka kufikia hapa...me ni mkosefu i admit
 
Kuna kosa dada alilifanya ikapelekea wewe ku act in such a way Bwana shemeji? Ni lipi hilo maana hukuwahi nikushtakia

Au labda sijaelewa?
YES! Na ndo maana nikakuambia tutamaliza wenyewe bwana shemeji, ila madame yeye muda wote anahisi kuonewa tu

nikianza kushtaki mimi hapa tutajaza server bwana shemeji naachaga yapite tu.

Umeelewa vizuri bwana shemeji
 
Back
Top Bottom