Mmh kumbe kuna watoto humu nilikua sifahamuView attachment 500488
Asante, yaani nimetafuta kiboyo kwenye google images nikachemsha, thanks thanks.
No ukimwizamani raha asikwambie mtu
Siku hizi google imehamia insta vipicha vya kila aina vipo kule
Aisee nimekumbuka mbali mnooMimi sikutumia mtungi kwamaana tulikuwa mjini. Hatukutumia hicho kifaa cha mzungu kwamaana havikuaga kipindi hicho. nimetumia ndoo hii hapa chini, ndoo za sido.
Okay, mi najua archive yangu unayo wewe, sitaki shida nikitaka picha tu nakuelezea.
Nidai chupa 2 za komoni kwa hiyo picha ya kibuyu.
uchokozi huo,komoni tena,nimeokoka mie
Ha! Hiyo zawadi nimeahirisha, nitatafuta mhitaji mwingine nimpe.
No ukimwi