Namora
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 406
- 1,000
Wakuu habarini👋
Naomba kupewa maelekezo na walio kwenye ndoa au watu wenye uzoefu wa maswala haya.
Je, hivi ni sahihi mwanamke unayemchumbia awe mke wako kukuuliza kwamba unafanya kazi gani?
Kuna rafiki angu alikua kampenda binti kamfata hado kwao kwa maongezi zaid ya uchumba ili achukue jiko. Lakini katika kuulizana ulizana maswali yule binti akamuuliza jamaa kua anafanya kazi gani? Jamaa akajibu ila badae alijitafakari juu ya hilo swali ikabidi aachane uchumba na huyo binti. Atafute mwingine
Tumejaribu kumshauri rafiki zake kwamba aendelee kua nae ila kagoma. Anasema kwamba kwanini aulizwe kazi anayofanya? Anataka ajue kipato anachopata? Je, akishajua kipato anachopata si baadae anaweza akampotezea akipata mwanaume mwingine mwenye kazi na kipato kizuri zaidi? Jamaa anasema huyo dada atakua yupo after money na sio kujenga familia katika hali zote za maisha.
So wazoefu naombeni majibu je jamaa kafanya sahihi au sio sahihi. Na mwanamke alifanya vibaya au vizuri kumuuliza kipato chake?
Naomba kupewa maelekezo na walio kwenye ndoa au watu wenye uzoefu wa maswala haya.
Je, hivi ni sahihi mwanamke unayemchumbia awe mke wako kukuuliza kwamba unafanya kazi gani?
Kuna rafiki angu alikua kampenda binti kamfata hado kwao kwa maongezi zaid ya uchumba ili achukue jiko. Lakini katika kuulizana ulizana maswali yule binti akamuuliza jamaa kua anafanya kazi gani? Jamaa akajibu ila badae alijitafakari juu ya hilo swali ikabidi aachane uchumba na huyo binti. Atafute mwingine
Tumejaribu kumshauri rafiki zake kwamba aendelee kua nae ila kagoma. Anasema kwamba kwanini aulizwe kazi anayofanya? Anataka ajue kipato anachopata? Je, akishajua kipato anachopata si baadae anaweza akampotezea akipata mwanaume mwingine mwenye kazi na kipato kizuri zaidi? Jamaa anasema huyo dada atakua yupo after money na sio kujenga familia katika hali zote za maisha.
So wazoefu naombeni majibu je jamaa kafanya sahihi au sio sahihi. Na mwanamke alifanya vibaya au vizuri kumuuliza kipato chake?