Unanunua line na kusajili lakini kutokana na sababu mbalimbali, unakuta hujaitumia hiyo line kwa muda fulani. Cha kushangaza mitandao ya simu inaaamua kuiingiza tena sokoni hiyo namba ili inunuliwe na kusajiliwa na mtu mwingine.
Kitu kimeuzwa na kusajiliwa sasa kwa nini kisimilikiwe daima na aliyekinunua? Mbaya zaidi ukomo wa hiyo line kuwa hewani kabla hawajaingiza tena sokoni unakuta ni miezi mitatu yaani hawajafikiria hata suala la mtu kuumwa n.k.
Huu usajili mpya ufutilie mbali kabisa uwezekano wa line moja kuja kusajiliwa zaidi ya mara moja.
Kitu kimeuzwa na kusajiliwa sasa kwa nini kisimilikiwe daima na aliyekinunua? Mbaya zaidi ukomo wa hiyo line kuwa hewani kabla hawajaingiza tena sokoni unakuta ni miezi mitatu yaani hawajafikiria hata suala la mtu kuumwa n.k.
Huu usajili mpya ufutilie mbali kabisa uwezekano wa line moja kuja kusajiliwa zaidi ya mara moja.