Cansa kama kuna other sexual transmitted diseases lakini kama ni wenyewe wawili akuna kitu kama hicho.Wakipata ma canser ya koo mtawauguza jamani
Wakipata ma canser ya koo mtawauguza jamani
Mwanamke anatakiwa 1. Jikoni awe mpishi wa 5 star Hotel 2. Chumbani kwenye kufanya mapenzi awe zaidi ya Malaya wa cona bar au Kimboka.Mimi sijaoa Ingawa naelekea huko. Uzi wangu ni kwa dhumuni la kujifunza, hasa kutoka kwa wenye ndoa.
Hili swali nimekuwa nikijiuliza mara nyingi sana. Sasa jana kuna movie moja ya Ki-Nigeria yenye Title "ITS COMPLICATED" ya RAY EMODI, CHINONSO ARUBAYI na PATIENCE UJAH (2022); nilikuwa naitazama, nikakutana na the same scenario.
Moja ya mambo ambayo yalikuwa yanawagombanisha wanandoa kwenye movie hiyo ni swala la mwanamke kunyonya mkuyenge wa mumewe BAADA YA NDOA. Mwanamke hakutaka kabisa kufanya jambo hilo BAADA ya ndoa wakati KABLA ya ndoa mwanamke alikuwa hodari sana kwenye hilo eneo.
Argument ya mwanamke ni hii, kwamba hiyo ni ya malaya, yeye ni mke na sio malaya. Mwanaume akamuuliza, mbona kabla ya ndoa alikuwa anamnyonya Kwa ujuzi wa hali ya juu? Mwanamke akamjibu, alifanya hivyo kwasababu alimuona mwanaume anapenda sana hicho kitu so akalazimika amfanyie (lakini nyuma ya pazia ni kama alimaanisha alimnyonya ili apate ndoa).
Mwanaume ikabidi akamuulize rafiki yake sana wa kiume, rafiki yake akamjibu yeye mkewe anamnyonya kabla na baada ya ndoa, kwasababu kile kitendo kinachochea hamu ya tendo. Jamaa ndio akazidi kuwa kichaa akidhani ananyimwa haki yake ya msingi.
Sasa swali langu kwenu wanandoa, hasa vijana, hivi kumuomba mkeo akunyonye ni kumvunjia heshima na kumfananisha na malaya au ni sehemu tu ya mapenzi/tendo?
Nadhani Kuna watu wanatamani kupata majibu sahihi kaka mimi.
I think you have a point Kelsea.Mimi nadhani mambo wanayofanyiana wapenzi kabla ya ndoa na kama wote wanafurahia basi wasiache hata baada ya kuingia ndoani.
Popo kanyea mbingu1 Wakorintho 7:5
Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu.
Msingi wa mambo yote ni mapatano, kama alikunyonya ukiwa haujamuoa hana sababu ya kukataa baada ya kumuoa isipokuwa ni mapatano yenu, maana mambo ya chumbani yanabaki kwenu wawili. Lazima mpatane ni namna gani mtashiriki tendo la ndoa.
Na hii imekuwa kasumba ya wanawake wengi, wakiingia ndani ya ndoa basi wanaanza kuekti utakatifu, kumbe uongo ni kwamba wamekuwa wavivu labda kwa sababu hitaji lao la ndoa linakuwa limeshatimia hata style watakupa kifo cha mende pekee, wakat kabla ya hapo hata popo kanyea mbingu wanakuwekea
Sina mkuu nakusikilizia weweWewe unasemajee Kwani??
Cansa kama kuna other sexual transmitted diseases lakini kama ni wenyewe wawili akuna kitu kama hicho.
Kumbe uume unanyonywa(ga)?
Mbegu zinamezwa au zinapakwa usoni kupendezesha ngozi?
Mimi pia nakusikiliza WeweSina mkuu nakusikilizia wewe
I think you have a point Kelsea.
This is my hypothesis formulation kwamba, inawezekana Moja ya sababu kubwa ya ndoa nyingi kuvunjika ni baada ya mke/mume KUACHA kumfanyia mpenziwe alivyokuwa anamfanyia kabla ya ndoa.
Pengine vile vya kabla ya ndoa ndio vilivyoleta matokea ya ndoa, Sasa visipokuwepo ndoa inageuka dhahama!!!
AstakafillahSie tunapigana 69 mpk tunapaliwa.. 😍
Kuna njia waweza kuitumia kufanya mambo na ukawa katika furaha na amani moyoni .
Jambo lolote ukitaka kulifanya ukaona unajihisi Guilty (hatia) hilo jambo usilifanye Ila ukiona you don't feel guilty you can just do it.
Swali lako ni zuri Ila halina majibu ya moja kwa moja.
Wapo watakaosema ni sahihi
Na wapo watakao sema they feel guilty .
Ikiwa jambo ukitaka kulifanya unajihisi utapata hatia usifanye maana litakupa madhara negative.
Kama umefatilia vizuri waweza kuelewa mfumo mzima wa uendeshaji wa mambo yako upo hivyo.
AstakafillahYa chumbani ni siri, huenda kuna mengi yanatokea zaidi ya kunyonyana
Corner bar au Kimboka?Mwanamke anatakiwa 1. Jikoni awe mpishi wa 5 star Hotel 2. Chumbani kwenye kufanya mapenzi awe zaidi ya Malaya wa cona bar au Kimboka.