Hivi ni mimi tu au dish limeyumba

Hivi ni mimi tu au dish limeyumba

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
11,718
Reaction score
27,815
Haiwezekani sasa nimemeshatumia pesa nyingi kuahkikisha hili dishi linatulia zamani nilijua ni kwasababu ya hali ya hesa ila kila jioni sioni chochote sina hata raha sasa nimeita mafundi wengi tu na nyie mnaotumia azam mnatatizo hili la kukatika kwa matangazo na kusua sua

USSR
 
Back
Top Bottom