Umomi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 677
- 983
Jamani ninavyoendelea niweza kupoteza maisha. Katika pitapita zangu nimedumbukia mahala ambapo nimezama mzima mzima mpaka kutoka nashindwa. Kuna binti kweli nampenda jamani. Ikipita cku sijaongea naye naumia roha mpaka siwezi kuelezea.
Nisaidieni mbinu za kuachana naye make nitakuja kufa kwajili yake. Siyo kwamba hakuna wengine ila hata nikiwa na wengine bado tu namkumbuka yeye. Au kaniwekea rimbwata?
Nisaidieni mbinu za kuachana naye make nitakuja kufa kwajili yake. Siyo kwamba hakuna wengine ila hata nikiwa na wengine bado tu namkumbuka yeye. Au kaniwekea rimbwata?