wankuru nyankuru
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 491
- 763
Habari wadau?
Mimi ni mjasiriamali mdogo katika kipindi hiki cha janga la covid 19 nimeamua kuanzisha biashara yangu ili iweze kuniingizia kipato.
Na ili niweze kufanya biashara yangu bila ya matatizo, wadau wamenishauri nikachukue kitambulisho cha ujasiriamali ( vitambulisho vya magufuli).
Kabla hata ya kuanzisha biashara na kufanya uamuzi wa kuchukua kitambulisho nilikuwa najiuliza sana kuhusiana na janga hili la corona na biashara yangu. Kwa kuwa naweza chukua kitambulisho hicho badae ikala kwangu.
Hivyo Basi, naomba kujua ni lini vitambulisho hivyo vitatolewa tena kwa mwaka 2020/2021?.
Lakini pia kwa janga hili la corona nahofia inaweza ikala kwangu endapo nikachukua kitambulisho alafu biashara isilipe, wajasiriamali wenzangu hili limeakaaje?.
Vile vile, kwa wale wajasiriamali wenzangu waliowahi kuwa na vitambulisho hivi ni changamoto gani mlizowahi kutana nazo katika biashara zenu ? Tusaidiane kwenye hili ndugu zangu wapendwa.
Mimi ni mjasiriamali mdogo katika kipindi hiki cha janga la covid 19 nimeamua kuanzisha biashara yangu ili iweze kuniingizia kipato.
Na ili niweze kufanya biashara yangu bila ya matatizo, wadau wamenishauri nikachukue kitambulisho cha ujasiriamali ( vitambulisho vya magufuli).
Kabla hata ya kuanzisha biashara na kufanya uamuzi wa kuchukua kitambulisho nilikuwa najiuliza sana kuhusiana na janga hili la corona na biashara yangu. Kwa kuwa naweza chukua kitambulisho hicho badae ikala kwangu.
Hivyo Basi, naomba kujua ni lini vitambulisho hivyo vitatolewa tena kwa mwaka 2020/2021?.
Lakini pia kwa janga hili la corona nahofia inaweza ikala kwangu endapo nikachukua kitambulisho alafu biashara isilipe, wajasiriamali wenzangu hili limeakaaje?.
Vile vile, kwa wale wajasiriamali wenzangu waliowahi kuwa na vitambulisho hivi ni changamoto gani mlizowahi kutana nazo katika biashara zenu ? Tusaidiane kwenye hili ndugu zangu wapendwa.