Hivi ni Kweli...?

Hivi ni Kweli...?

si kweli coz kuna watu wanapitia mitihani migumu tu kabla ya kufunga ndoa lakini pengine huwa wanafaulu ndo maana wanafikia hatua hiyo. . .labda useme baada ya ndoa mitihani inaongezeka na kuwa migumu zaidi.
 
::
Mitihani ya mapenzi siku hizi inatungwa kwa Shetani kabisa.
Na inaanza kufanyika kabla,ndani na baada ya ndoa.
Cheti unapata ukiondoka duniani.
=
 
si kweli coz kuna watu wanapitia mitihani migumu tu kabla ya kufunga ndoa lakini pengine huwa wanafaulu ndo maana wanafikia hatua hiyo. . .labda useme baada ya ndoa mitihani inaongezeka na kuwa migumu zaidi.

joyness:busara hizo si bure lazmaaa....
 
Last edited by a moderator:
::
Mitihani ya mapenzi siku hizi inatungwa kwa Shetani kabisa.
Na inaanza kufanyika kabla,ndani na baada ya ndoa.
Cheti unapata ukiondoka duniani.
=

Tetra:umefanikiwa kunichekesha...!
 
Last edited by a moderator:
Eti CHETI cha kupewa bure bila kufanya mitihani ni CHETI cha NDOA tu, MITIHANI inakuja baadaye...

Siyo kweli, nenda kawaulize baadhi ya wadada ambao hawajaolewa na baadhi ya wakaka ambao hawajaoa wakusimulie ugumu wa kumpata mtu wa kufunga nao ndoa! Na kama unataka ushahidi ona ongezeko la thread za natafuta mke/mume/mpenzi wa kweli/mtu aliye siriaz kuoa/kuolewa zinavyoongezeka ndo utajua ugumu wa hiyo kitu ...

Labda cheti cha bure kinaweza kuwa ni cha kifo ... Maana saa nyingine huja wakati huna mapango wa kuiacha hii dunia ingawa pia kuna wachache ambao hujitanguliza wenyewe mbele za haki kwa kujiua!
 
Siyo kweli, nenda kawaulize baadhi ya wadada ambao hawajaolewa na baadhi ya wakaka ambao hawajaoa wakusimulie ugumu wa kumpata mtu wa kufunga nao ndoa! Na kama unataka ushahidi ona ongezeko la thread za natafuta mke/mume/mpenzi wa kweli/mtu aliye siriaz kuoa/kuolewa zinavyoongezeka ndo utajua ugumu wa hiyo kitu ...

Labda cheti cha bure kinaweza kuwa ni cha kifo ... Maana saa nyingine huja wakati huna mapango wa kuiacha hii dunia ingawa pia kuna wachache ambao hujitanguliza wenyewe mbele za haki kwa kujiua!

HorsePower:Unaukweli katika hoja yako.Ila mkuu nasikia hao wanaotafuta sasa ke au me wakishaingia kuna wengine wao wengi tu usishangae wanatamani tena kutoka...kama mzinga wa nyuki!
 
Last edited by a moderator:
hata cheti cha ndoa kinalipiwa. inawezekana hujafunga ndoa. vyeti vyote vinalipiwa. ndoa ni mtihani mzito kuliko mitihani sifa kuu ni uvumilivu, upendo na msamaha.
 
Lindogo:Una ukweli ati!Kinalipiwa ila gharamake si kama vyeti vile tusoteavyo sijui miaka na miaka mara ku sup au kucarry over etc!
 
Last edited by a moderator:
si kweli na sio cha bure tena mitihani ni migumu kuliko ya CPA AU NBMM
 
kugegedwa kwenyewe ndio mtihani wa kwanza bado ile style ya mwanaume kumpa mimba demu kabla ya ndoa
 
kabla ya cheti mitihani ipo ila si migumu
baada ya cheti ndio shughuli inapoonekana
mitihani inaongezeka tena migumu balaaa!mtu
unajuta kupokea cheti atiiii!!!!!

 
kabla ya cheti mitihani ipo ila si migumu
baada ya cheti ndio shughuli inapoonekana
mitihani inaongezeka tena migumu balaaa!mtu
unajuta kupokea cheti atiiii!!!!!

Huwa ni migumu sema tu mitihani kabla ya ndoa unaweza ukaikimbia maana bado unakuwa na fursa ya kufanya mitihani mingine
 
Back
Top Bottom